Sijui tu kama jinsi na wewe vile hujui.na wewe ni great thinker kweli?
Watu wamepatwa na stress za ajabu kabisaNdio maana nasema hii JF imevamiwa. Sasa kama huelewi hata halmashauri ni kitu gani, unawezaje kupata ujasiri wa ku"post" mada hapa?
1. Halmashauri ya mji
2. Halmashauri ya manispaa
3. Halmashauri ya Jiji
N.K
Kwakuongezea kuunga mkono hoja .Ndio maana nasema hii JF imevamiwa. Sasa kama huelewi hata halmashauri ni kitu gani, unawezaje kupata ujasiri wa ku"post" mada hapa?
1. Halmashauri ya mji
2. Halmashauri ya manispaa
3. Halmashauri ya Jiji
N.K
manispaa ni eneo la kiutawala wa kiserikali ya mitaaa lenye uwezo wa kujiendesha kwa sheria na utawala wake lakini usio wa kijiamulia kila jambo moja kwa moja ( semi autonomy) na mara nyingi eneo hili la utawala lina tengwa kwa kuzingatia idadi ya watu na huduma za watu ktk eneo husika. msingi wa hadhi ya manispaa nikuwa lazima eneo lifikie idadi fulani ya watu ambayo ni zaidi ya ile iliyowekwa kwa mji.idadi hii ya watu ktk manispaa inapozidi eneo hupandishwa hadhi na kuwa jiji.
halmashauri ni mamlaka inayoongoza na kusimamia haya maeneo ya kiserikali za mitaa. kwahiyo msimamizi wa kijiji, mji , manspaa na jiji ndiyo hiyo mamlaka inayoitwa halmashauri ya kila eneo kama nilivyotaja
Mimi nafikili inawezekana kwamfano manispaa yakinondoni inaweza ikawa halmashauri ya jiji la kinondoni lililo ndani ya halmashauri ya jiji la dar es salaamiko hivi, kijiji=>mji mdogo=>mji=> manispaa=jiji.
niwape changamoto mpya, je inawezekana ndan ya jiji kukawa jiji ama majiji mengine?!
Ndiyo maana nimeleta hili swali ili nieleweshwe. Kama ningekaa kimya nisingepata kuyaelewa haya, na ningewapotosha na wengine. Thanks for sharing waungwana...
Halmashauri ni Mamlaka, almaarufu kama "Mamlaka za Serikali za Mitaa" kwa kifupi MSM. Wenye mamlaka hizi ni Madiwani na ndio maana neno "halmashauri" kwa kiingereza ni "council" na diwani ni "councilor". Mamlaka hizi (halmashauri) zina hadhi mbalimbali ambazo ni (kutoka chini kwenda juu), Halmashauri ya Wilaya, Halmashauri ya Mji, Halmashauri ya Manispaa na Halmashauri ya Jiji. Vipo vigezo mbalimbali vinavyoifanya halmashauri kupanda hadhi kutoka ngazi moja kwenda nyingine, kigezo muhimu kikiwa ni Mapato ya ndani ya halmashauri husika.Salaam wadau, naombeni kunijuza tofauti kati ya Manispaa na Halmashauri. Asanteni
UKO VIZURI HONGERA NA HII NDIO JIBU LA ALIYEULIZA SWALIHalmashauri ni Mamlaka, almaarufu kama "Mamlaka za Serikali za Mitaa" kwa kifupi MSM. Wenye mamlaka hizi ni Madiwani na ndio maana neno "halmashauri" kwa kiingereza ni "council" na diwani ni "councilor". Mamlaka hizi (halmashauri) zina hadhi mbalimbali ambazo ni (kutoka chini kwenda juu), Halmashauri ya Wilaya, Halmashauri ya Mji, Halmashauri ya Manispaa na Halmashauri ya Jiji. Vipo vigezo mbalimbali vinavyoifanya halmashauri kupanda hadhi kutoka ngazi moja kwenda nyingine, kigezo muhimu kikiwa na Mapato ya ndani ya halmashauri husika.
Samahan mkuu,nimezoea kwa Tanzania majiji karibu yote yapo makao mkuu ya mkoa lakini pia ndani ya mkoa huo huo unaweza kukawa na halmashauri ya manispaa nyingine yenye hadhi kubwa tu ambayo pia inaweza kuwa na hadhi ya jiji.Imekaaje hii kwamfano ndani ya mkoa wa shinyanga kuna halmashauli ya manispaa ya shinyanga (pia ni makao mkuu ya mkoa) na halmashaur ya manispaa ya kahama ambayo niwilaya nyingine ndani yamkoa,je inawezekana kuipa h.ya kahama halmashauri ya jiji endapo itatimiza vigezo vyote mapema kabla ya halmashauri ya manispaa ya shy?Au hapo itabidi vigezo vya ziada viwekwe ili kuipandsha halmashauri iliyo makao makuu yamkoa?Halmashauri ni Mamlaka, almaarufu kama "Mamlaka za Serikali za Mitaa" kwa kifupi MSM. Wenye mamlaka hizi ni Madiwani na ndio maana neno "halmashauri" kwa kiingereza ni "council" na diwani ni "councilor". Mamlaka hizi (halmashauri) zina hadhi mbalimbali ambazo ni (kutoka chini kwenda juu), Halmashauri ya Wilaya, Halmashauri ya Mji, Halmashauri ya Manispaa na Halmashauri ya Jiji. Vipo vigezo mbalimbali vinavyoifanya halmashauri kupanda hadhi kutoka ngazi moja kwenda nyingine, kigezo muhimu kikiwa ni Mapato ya ndani ya halmashauri husika.
Samahan mkuu,nimezoea kwa Tanzania majiji karibu yote yapo makao mkuu ya mkoa lakini pia ndani ya mkoa huo huo unaweza kukawa na halmashauri ya manispaa nyingine yenye hadhi kubwa tu ambayo pia inaweza kuwa na hadhi ya jiji.Imekaaje hii kwamfano ndani ya mkoa wa shinyanga kuna halmashauli ya manispaa ya shinyanga (pia ni makao mkuu ya mkoa) na halmashaur ya manispaa ya kahama ambayo niwilaya nyingine ndani yamkoa,je inawezekana kuipa h.ya kahama halmashauri ya jiji endapo itatimiza vigezo vyote mapema kabla ya halmashauri ya manispaa ya shy?Au hapo itabidi vigezo vya ziada viwekwe ili kuipandsha halmashauri iliyo makao makuu yamkoa?
Asante sana mkuu nimekuelewa make illikua inanichanganya sana make nilikua nadhani kukua kwa halmashauri ya manispaa ndani yamkoa husika kama kunaweza athiri hadhi ya halmashauri iliyo makao makuu ya mkoa.Nilicho kinote hapa ni kwamba kipaumbele kinawekwa kwa halmashauri iliyo makao makuu yamkoa kwa sababu ni eneo muhimu kiutawalaUmeandika mengi lakini moja kubwa unalichanganya ni hili la hadhi ya jiji.
Bila kuathiri uwepo wa wilaya haiwezekani kwa wilaya kuwa na halmashauri itakayoitwa jiji.
Jiji ni hadhi ya kukua kwa mkoa pekee. Na halmashauri ya jiji hujengwa na halmashauri za wilaya ama manispaa kama ilivyo kwa Dares salaam.
Halmashauri ya wilaya inaweza kukua na kuwa manispaa na sio jiji.
Madiwani wa wilaya wanatengeneza halmashauri ya wilaya au halmashauri ya manispaa.
Huko nyuma kidogo hii Dar Ilikuwa manispaa na wilaya zake zilibaki kuwa halmashauri za wilaya.
Kama utakumbuka wakati wa Kitwana Kondo na baadaye kipindi cha mpito cha Tume ya Dar es salaam chini ya uenyekiti wa Charles Keenja miaka ya 1995 na kuendelea mpaka 1999 kama sijakosea.
Samahan mkuu,nimezoea kwa Tanzania majiji karibu yote yapo makao mkuu ya mkoa lakini pia ndani ya mkoa huo huo unaweza kukawa na halmashauri ya manispaa nyingine yenye hadhi kubwa tu ambayo pia inaweza kuwa na hadhi ya jiji.Imekaaje hii kwamfano ndani ya mkoa wa shinyanga kuna halmashauli ya manispaa ya shinyanga (pia ni makao mkuu ya mkoa) na halmashaur ya manispaa ya kahama ambayo niwilaya nyingine ndani yamkoa,je inawezekana kuipa h.ya kahama halmashauri ya jiji endapo itatimiza vigezo vyote mapema kabla ya halmashauri ya manispaa ya shy?Au hapo itabidi vigezo vya ziada viwekwe ili kuipandsha halmashauri iliyo makao makuu yamkoa?
Halmashauri ya KijijiNdio maana nasema hii JF imevamiwa. Sasa kama huelewi hata halmashauri ni kitu gani, unawezaje kupata ujasiri wa ku"post" mada hapa?
1. Halmashauri ya mji
2. Halmashauri ya manispaa
3. Halmashauri ya Jiji
N.K