Kongosho je wafikiri safari za nissan duet na benz ni sawa? benzi ni gari ya safari ina resistance kubwa barabarani pia ina spidi kubwa istoshe the modern benz zina electronic compilications ukilinganisha na nissan duet ambayo ni gari kwa safari lakini haiwez kuimili safari ndefu mara nyingi. kwa mtazamo wangu tu nA NIKO TAYARI KUKOSOLEWA.
viungo vya binadam popote pale kilipo kina mvuto na kazi yake.na kama ilivyo ada mvuto wa kitu siku zote ni shape yake yaani hata yai kama shape yake haijakaa sijui ki elliptical haliwez kuvutia bana ama kama nyanya ama embe lisipokaa kwenye umbo lake haliwez kuvutia.
naamini wewe ni mwendaji sana wa sokoni na waweza kuwa na tabia kama yangu kwamba miye huwa nanunua vile vitu ambavyo vina shape ya kuchora kama ni ndizi mpaka ikae kama zile zinazochorwa kwenye picha ndio nanunua. hii ni kwasababu vinavutia sana so hata mwanamke kiungo chochote alicho nacho kina mvuto wake sasa kinakua na added advantage kikiwa na shape kama ya kuchora. sijui umenielewa hapa.