Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,848
Makalio, matiti na lips, macho yaan mimi hoi, lakini akija demu sijui anamiguu imekaaje hilo kwangu si kigezo
Honey asikuambie mtu bana... Hilo guu lako ndo lilinichechetua mtoto wa kiume nikalegea kwako. Na hako kajungu mashaalah hapo sijazungumzia hako kababy face kako na macho ya mwito? Si unakumbuka nlishakuambia sitokuacha?aseeee, kumbe miguu inamatter ee?? sasa sisi wenye tubelights cjui tufanyeje? lol!
aseeee, kumbe miguu inamatter ee?? sasa sisi wenye tubelights cjui tufanyeje? lol!
hubby kam this way bana, si unajua nipo without!Honey asikuambie mtu bana... Hilo guu lako ndo lilinichechetua mtoto wa kiume nikalegea kwako. Na hako kajungu mashaalah hapo sijazungumzia hako kababy face kako na macho ya mwito? Si unakumbuka nlishakuambia sitokuacha?
Umeona eh? Without + Without = Baby Boy............ STUKA!!hubby kam this way bana, si unajua nipo without!
Jamani hii kitu inanitatiza, mwanaume kupenda makalio, matiti na lips, macho au kusema umbo la kike ni kitu ambacho kina eleweka. Maana kuna vitu vingi unaweza kupata entertainment.
Jamani siifahamu siri ya kupenda miguu, wenyewe wanaita chupa ya bia. Hebu tujuzeni ni faraja gani au ina mvuto gani?
Haya vidume vya JF nasubiri busara zenu
kazi tunayo si tusio na miguu ya bia!napita!kimsingi napenda mguu wa bia kwani humpa shepu mwanamke, jambo la pili mwenye mpangilio wa meno, yani staili fulani hivi akitabasamu huchoki kumwangalia, halafu mambo fulani ya hips...mmmh, ngoja nikohoe kidogo....kiuno kimegawanyika fulani vile, rangi yeyote tu ila inayoniua kuliko zote ni chokolate............
poiintebwana wee hamna kitu kivuri kama mwanamke mwenye mguu mzuri alafu mie ndio ugonjwa wangu. mie mwanamke nikiona anavaaga suluali najua huyu hana migu mizuri.
anyways uzuri wa mguu wa bia ni
1) una mfanya mwanamke avae skirt becoz anataka kuuonyesha. this is gud becoz deep down it portray her feminine side which we men like.
2) makes high heels looks even more sexier than ambaye hana mguu mzuri
3) katika game la six by six part of foreplay ni kupapasana na kulambana na sie wanaume twapenda shika nyamna nyama during that phase of 6 *6. this also expalins y twapenda nono iliyojaa
😂😂😂😂😂😂Zamani ukiambiwa una mguu wa bia ilikuwa sifa kwa chupa za bia za wakati ule ila kwa chupa za bia za siku hizi ukiambiwa una mguu wa bia inabidi ulie sana