sawa,Hatujakataa hoja yako.
Tunakufahamisha usilo lijua (Ambalo halitangazwi).
Silaha pesa.. hirizi urembo tu kwangu Mimi (hazinidhuru/siziogopi).
Duh! Ila niliokutana nao mimi labda ni tofauti nini?Njomba nchumali unataka nini na mm? Ntu wa Ntwara wewe unayelima korosho?
Katika mikoa ya kijinga ambayo siwezi kumshauri mtu akatafute maisha ni Lindi na Mtwara. Watu wa huko wamekomaa, wana sura mbaya na roho kama ya korosho.
Ukianza kumuonea wivu mwanamke kimakonde utakuwa una kichaa. Vifupi, miguu vina migimbi na vimekomaa sura mpaka ngozi.
mengi sana, nimeona kwa macho yangu!Kule kusini ni wastaarabu sana mambo mengi mabaya wanapakaziwa tu
Ngoja Nikuulize..sawa,
lakini kama mtu unaishi na wengine wanaishi na miaka inakatika huoni wala kusikia kuna mtu akiwa kajifungua mbilimbi, kanyofolewa korodani/titi/penis, anauza biashara bila mwenyewe kuwepo na watu wanachukua wanachohitaji huku wakirudisha chenji wenyewe n.k tunaweza kusemaje?
hata sio tofauti, ni hao hao. mtoa post anajitahidi kutaka kufake
Nisichokijua hapo labda huo msamiati wa "promiscous" lakini hayo mengine nashindwaje/naachaje kuyajua wakati nipo huku naishi nao?Mikoa ya Lindi na Mtwara haina hiyo idadi kubwa ya waislamu hasa Mtwara mkuu.
Naweza kukubali Lindi inawaislamu wengi ila siyo Mtwara.
Kuhusu dini kuwa chanzo nakataa. Kwa sababu hata mikoa mingine ina dini pia
Usichokijua hizi jamii ni matrilinea society hivyo wanawake wanasauti katika familia kwa msingi huo hakuna male dominance.
Kingine hizi ni jamii ambazo kwa msingi fulani ni promiscuous na mwanamke mmoja anaweza kuwa na wanaume wengi tu na wote wanafahamiana na kusiwe na tabu yoyote.
kwa asilimia kubwa.....tandahimba (pale wilayani na kwenye vijiji vyake kama kitama, nyundo, nambahu, mkonjowano, uloda, dihimba, namindondi), mtwara vijijini km nanyamba, kitere, kitaya, nimtekela n.k, newala karibu yote na maeneo mengine pia. mtwara mjini naiondoa kwa kesi hii.Ngoja Nikuulize..
Umewahi kufika na kuizunguka mtwara yote? (Sio tu pale town).
NI kwamba wewe ni Mmarekani, m-Ulaya, Mjapan, au Mkorea ya Kusini?! Acha kujikweza wewe!!! Ni mkoa gani ukiondoa Dar es salaam ambao hautegemei kilimo?! Kwamba eti ukashangaa eti hakuna umeme!!! Unataka kusema ni watu wa huko pekee ndo hawana umeme Tanzania hii?!! Ni unafiki ulioje na kujikweza kwa kijinga. Yaani Afrika hii ushangae kutokuta umeme vijijini? Yaani kuna watu humu kwa kujifanya kwenu ni maisha bora; wakati hata huko kwenu shida tupu!!Pesa ndiyo tatizo. Kumbuka wanategemea korosho na nyumba za kule za kawaida sana. Utakuta mishamba ya korosho mingi ila maisha ya watu wake ni duni. Akikutana na ww anaona ndiyo afadhali yake huenda akapona.
Nilikuwa masasi, kutoka Masasi mjini mpka kijiji cha Namatunu unatembea dk 45 mpk 50 hivi lkn cha kushangaza hakina umeme. Nilishangaa halafu maji ni ya shida sana.
mh, we ndugu sasa mambo hayo unaonyeshwa wewe tu? naanza kupata mashaka labda mwenyewe wewe ni mtu wa mitishamba ndo maana unasumbuka na vitu hivyo na inaonekana huwezi kuamini vinginevyo!Hahahahah
Kama wewe ni Ke kweli, na humjui Yesu Kristo, niamini Mimi walikupandia dau usiku.
Pwani ya mtwara
mkuu watu kwenye kufake maisha wako vizuri aisee, wako vizuri saana!We unaonekana mtu wa dharau sana. Ni mkoa gani ukiondoa Dar es salaam ambao hautegemei kilimo?! Wale Wamasai wenye mamia ya ng'ombe huku wakiishi kwenye nyumba za tembe mbona kwao ukatili umejaa?! Kule Sumbawanga kuna nini cha maana lakini mbona vitendo vyao vya ushirikina uliopindukia vinasikika kila mahali? Kwamba eti hakuna umeme; unataka kusema ni watu wa huko ndo hawana umeme?! Eti ukashangaa!! Ni unafiki ulioje. Yaani Tanzania hii ushangae kutokuta umeme vijijini? Yaani kuna watu humu kwa kujifanya kwenu ni maisha bora; upumbavu mtupu!
Yaani warefu ile familia, sura ndefu halafu ni Wamakua. Sasa najiuliza mbona wapo tofauti na watu wengine wa huko kusini?hata sio tofauti, ni hao hao. mtoa post anajitahidi kutaka kufake
Ewaah.. Sasa ile newala ile sio poa, mahuta hapafai, tandahimba nayo ina magwiji wengi tu, njoo huku naliendele na kile kijiji pacha yake ipo upande wa kushoto baada tu ya naliendele.. huko kote Kuna magwiji.. sema sasa uchawi as uchawi hautangazwi sana tofauti na matendo/matukio ya moja kwa moja kwenye mwili..kwa asilimia kubwa.....tandahimba (pale wilayani na kwenye vijiji vyake kama kitama, nyundo, nambahu, mkonjowano, uloda, dihimba, namindondi), mtwara vijijini km nanyamba, kitere, kitaya, nimtekela n.k, newala karibu yote na maeneo mengine pia. mtwara mjini naiondoa kwa kesi hii.
Pumbavu sana hilo jamaa!! Linajifanya kushangaa kukuta kijiji hakina umeme wakati limetoka kwao huko hadi kwenye mikoa ya watu wasio na umeme!! Sasa kama sio njaa ndo zinamsumbua hadi akafiika kote huko, sijui tuite nini!!mkuu watu kwenye kufake maisha wako vizuri aisee, wako vizuri saana!
ule ni ugaidi rasmi uliotambulika......sio vitu vilivyomo kwenye jamiiKitaya wanajeshi wetu walipokatwa vichwa unapajua??
Kiongozi, miezi michache iliyopita nilienda Mtwara kwenye research moja! Kule Waislamu ni wengi sana! Labda wewe ulifika Masasi; huko ndiko Christian wengi lakini ukienda Mtwara Mjini, Vijijini, Newala, Mahuta, Tandahimba; zote hizo ni Muslim majority, tena by far.Mikoa ya Lindi na Mtwara haina hiyo idadi kubwa ya waislamu hasa Mtwara mkuu.
Naweza kukubali Lindi inawaislamu wengi ila siyo Mtwara.
Kuhusu dini kuwa chanzo nakataa. Kwa sababu hata mikoa mingine ina dini pia
Usichokijua hizi jamii ni matrilinea society hivyo wanawake wanasauti katika familia kwa msingi huo hakuna male dominance.
Kingine hizi ni jamii ambazo kwa msingi fulani ni promiscuous na mwanamke mmoja anaweza kuwa na wanaume wengi tu na wote wanafahamiana na kusiwe na tabu yoyote.
sawa, ngoja tuendelee kusikia ushuhuda mkuu!Ewaah.. Sasa ile newala ile sio poa, mahuta hapafai, tandahimba nayo ina magwiji wengi tu, njoo huku naliendele na kile kijiji pacha yake ipo upande wa kushoto baada tu ya naliendele.. huko kote Kuna magwiji.. sema sasa uchawi as uchawi hautangazwi sana tofauti na matendo/matukio ya moja kwa moja kwenye mwili..
Yaani warefu ile familia, sura ndefu halafu ni Wamakua. Sasa najiuliza mbona wapo tofauti na watu wengine wa huko kusini?ule ni ugaidi rasmi uliotambulika......sio vitu vilivyomo kwenye jamii
sio siku hizi mkuu, uhabarishaji upo kila mahaliHii inaweza kuwa moja ya sababu.
hili sina elimu nalo kiongoziYaani warefu ile familia, sura ndefu halafu ni Wamakua. Sasa najiuliza mbona wapo tofauti na watu wengine wa huko kusini?
Sent using Jamii Forums mobile app