Nini sababu ya mikoa ya Kusini kuwa salama sana kibinadamu?

Katika mikoa ya kijinga ambayo sijawahi kuona ni Lindi na Mtwara. Mikoa ambayo imetelekezwa na serikali
Nauli ya kutoka Dar mpaka Mtwara ni 23,000
Nauli ya kutoka Dar mpaka Lindi ni 23,000. Wewe ushawahi ona wapi hiyo kwenye mikoa ya watu wanaojielewa?
Kama matukio yanatokea na hayatangazwi wewe umejuaje kama yanatokea?

I can see you're fighting with your own mind!
 
Kama jamaa yako ana upungufu wa nguvu za kiume na ana kibamia usidhani na mm nina hivyo vitu. Kiukweli wanawake wa Mtwara na Lindi siyo wazuri bora hata wamakua kidogo ila siyo wamakonde. Wamekomaa, sura ngumu na vifupi
Pole sana.
nimeamua kujihusisha sababu nimetoa mada; kiongozi kwa maneno haya ni dhahiri kwa sisi wataalamu wa kisaikolojia tumeshajua kinachokusumbua.......udogo wa maumbile (kibamia) na upungufu wake wa nguvu bila shaka; hiyo ndo defensive mechanism uliyojichagulia....i am sorry!
 
Kama jamaa yako ana upungufu wa nguvu za kiume na ana kibamia usidhani na mm nina hivyo vitu. Kiukweli wanawake wa Mtwara na Lindi siyo wazuri bora hata wamakua kidogo ila siyo wamakonde. Wamekomaa, sura ngumu na vifupi
Pole sana.
Wanaume marijali huwa hatuwi na vineno vya shombo kama hivyo, ndo ukweli huo! Hivyo ni vya kina kaoge.
 
Kwani sehemu zingine hazina dini?
Dini Iko mdomoni na sio moyoni hafu watu Wana roho mbaya ila ukanda wa pwani watu hawana roho mbaya,hata kuroga hawakuroga mpaka uingie kumi na nane zao ndio utajua hujui, ila huko kwingine ukiwa mgeni unaanza kurogwa bado kuibiwa vitu Kwa vile wewe ni mgeni tu.
So kwa experience yangu watu wa pwani wako poa na Wana utu
 
Kama jamaa yako ana upungufu wa nguvu za kiume na ana kibamia usidhani na mm nina hivyo vitu. Kiukweli wanawake wa Mtwara na Lindi siyo wazuri bora hata wamakua kidogo ila siyo wamakonde. Wamekomaa, sura ngumu na vifupi
Pole sana.
Jamaa tangu usafishwe mtaro akili yako haijakaa sawa,hivi ishu yaa uumbaji wa MUNGU nayo ni yakujivunia!kila sehemu kuna wazuri na wabaya. Hujaizunguka hii nchi.
 
HUKU WANAUANA KWA UCHAWI ZAIDI. YAANI NI KUROGANA SANA. HAKUNA MIKOA WATU WANAOGOPA KUFANYA MAENDELEO KAMA HII YA MTWARA,LINDI NA KILWA.


Nazungumzia Lindi na Mtwara haswa!

1. Kule husikii albino amechinjwa

2. Kule husikii wenye macho mekundu wameuawa kisa ni wachawi,

3. Kule husikii wenye upanja wamepigwa nondo ili zikatumike buchani

4. Kule husikii mtu amechunwa ngozi

5. Kule ni nadra kusikia wazazi, sijui mama, kutolewa uhai ili kuleta utajiri

6. Kule ni nadra kusikia makabila au koo wamepigana na kutoana uhai (ingawa kuna makabila mengi tu na yanapishana wakati mwingine),

7. Kule ni nadra kusikia mauaji ya kinyama kwa kisa cha mapenzi au kudaiana fedha

8. Kule ni nadra kusikia babu sijui mjomba amembaka mjuu/mpwa,

9. Kule ni nadra kusikia visa vya mabinti kutupa watoto chooni,

10. kule ni nadra kusikia binadamu ananyofolewa viungo ili vikauzwe vilete utajiri

11. Kule ni kawaida mgeni ukapokelewa na kuishi kama wananchi wengine bila wasiwasi n.k.

Wakati hali ikiwa hivyo, maeneo mengine kuna utofuti sana.

-Mauaji. JF kwa siku karibia nne au tano leo zimejaa thread za mauaji tu kwa visa vya mapenzi n.k. kisa cha hivi karibuni kuripotiwa ni hicho kilichotokea Tabora

-Ubakaji

-Utupaji wa watoto

-Ushirikina, kuna maeneo wazee eti wanakaa kabisa na kufanya tambiko ambapo mgeni anauawa kama kafara (mwalimu mmoja wa sekondari alikutana na dhahama hii sehemu fulani, alifuatwa akauawa na mwili wake kuchukuliwa kwenda kufanyiwa tambiko). pia, maeneo mengine tunaona na kusikia jinsi makaburi yanavyoenda kufukuliwa na maiti kutolewa na kurudishwa ilikotoka.....wafiwa wanaamka asubuhi wanakuta wamewekewa maiti ya ndugu yao waliomzika jana uwanjani.

na vingine vingi

Wajuzi/wafuatiliaji/ wasomi; sababu kubwa haswa ya hali hii ni nini? dini au?

Karibuni kwa uelimishaji.
 
Inawezekana pia hali siyo shwari kama tunavyofikiria ila mawasialiano ndiyo yanasababisha tusipate habari nyingi za huku. Hii mikoa bado iko nyuma sana. Ila nikiri kuwa watu wa huko hawana mambo ya tamaa ya mali kama mikoa mingine. Kule mtu akipata sex na chakula anaona ameshamaliza shida zote za maisha.
Kwa mimi nilotembea mikoa mingi ni mikoa michache iloizidi kimaendelea Mtwara, Mtwara vijiji vingi vina maendeleo tofauti na mikoa mingine
 
Yote uliyoorodhesha ni sahihi kabisa!!!!
Ila nyongeza ya hapo ni mara chache pia kusikia mikoa hiyo ikiongelewa hata kwenye vyombo vya habari hasa kwa upande wa maendeleo.
Labda ndio sababu wanatulia kupambana na hali yao.
 
Huko ni uswekeni nani atafuatilia mambo ya huko ? Huko huwa tunafuatilia gas na korosho basi.
Hivi Lindi na Mtwara ni sweken kama unavyosema ukilinganisha na baadhi ya maeneo mengine?
Lindi na Mtwara imesahaulika na wenye Mamlaka na sababu is just a matter of interest naweza sema vile.
Hivyo watu wanapambana kivyaovyao tu.
 
Back
Top Bottom