Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,371
Tukio la huyu jamaa kufanya haya yote!

Japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari!

Na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!

Mama kaeleza.

Polisi wanaongoza kupiga dili

Askari michongo, askari sio wahaminifu, askari kutaka maisha na ukweli.

IMG_0069.jpg

IMG_0068.jpg

IMG_0067.jpg


jeshi la polisi kuna kasoro kama wananchi katika maelezo wanaeleza ukweli kuhusu hili.

kumbuka kuna siku mtakimbilia jeshi kuu kwa haya.


japo nilimuachia mungu
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mtoto wa watu😭😭😭😭
 
tukio la huyu jamaa kufanya haya yote !

japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari !

na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!

mama kaeleza.

polisi wanaongoza kupiga dili

-askari michongo,askari sio wahaminifu,askari kutaka maisha na ukweli.
View attachment 1908327
View attachment 1908328
View attachment 1908329

jeshi la polisi kuna kasoro kama wananchi katika maelezo wanaeleza ukweli kuhusu hili.

kumbuka kuna siku mtakimbilia jeshi kuu kwa haya.


japo nilimuachia mungu
Eeh makubwa
JamiiForums-2088709850.jpg
 
Yule mwela aliepigwa shaba alijamba pwaa.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
tukio la huyu jamaa kufanya haya yote !

japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari !

na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!

mama kaeleza.

polisi wanaongoza kupiga dili

-askari michongo,askari sio wahaminifu,askari kutaka maisha na ukweli.
View attachment 1908327
View attachment 1908328
View attachment 1908329

jeshi la polisi kuna kasoro kama wananchi katika maelezo wanaeleza ukweli kuhusu hili.

kumbuka kuna siku mtakimbilia jeshi kuu kwa haya.


japo nilimuachia mungu

wamepata mapato ya udhalimu wao *** polic[emoji123]
 
Back
Top Bottom