Waungwana nisaidieni nini nafasi za Advanced Diploma tunapokwenda katika soko la ajira la Afrika mashariki.
Je Advanced Diploma ni sawasawa na digeree ya kwanza, je ni mfumo kutoka nchi gani, mweye advanced diploma anaweza kutumia kujiunga na masomo ya masters, je ni kweli Kenya, Uganda hawazitambui?
Napata shida kuelewa maana hapa Bongo utakuta anatakiwa mtu mwenye degree ya kwanza au advanced diploma.
Je Advanced Diploma ni sawasawa na digeree ya kwanza, je ni mfumo kutoka nchi gani, mweye advanced diploma anaweza kutumia kujiunga na masomo ya masters, je ni kweli Kenya, Uganda hawazitambui?
Napata shida kuelewa maana hapa Bongo utakuta anatakiwa mtu mwenye degree ya kwanza au advanced diploma.