ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,119
- 49,840
Utafiti wa Wizara ya elimu unaonesha kwamba kumekuwa na Wimbi kubwa la Wanafunzi Kukacha Kidato Cha 5 na 6 badala yake Kujiunga Vyuo Vya Elimu vya kati ngazi ya Diploma.
Kwani Kuna nini huko Advance na huku Diploma Kuna nini wanakimbilia?
Je inaweka kuwa wanaona Elimu ya Kidato cha 5 na 6 haiwasaidii mtaani kulinganisha na Elimu ya ngazi ya Diploma?
Je, pengine ukijiunga A level unaenda Bachelor na Sokoni Bachelor haiziki kama Diploma?
Shida nini Wanafunzi mnakimbia Ugumu au?
Kwani Kuna nini huko Advance na huku Diploma Kuna nini wanakimbilia?
Je inaweka kuwa wanaona Elimu ya Kidato cha 5 na 6 haiwasaidii mtaani kulinganisha na Elimu ya ngazi ya Diploma?
Je, pengine ukijiunga A level unaenda Bachelor na Sokoni Bachelor haiziki kama Diploma?
Shida nini Wanafunzi mnakimbia Ugumu au?