Nini matumizi ya udi

Nini matumizi ya udi

Usisahau pia kama una nyumba ndogo na inapenda kufukiza udi au inakupaka pafyumu aina fulani inakubidi uhakikishe nyumba kubwa nayo ina fukiza udi ili ikisikia harufu idhani ni ya kwake ingawa kalagabaho
naaam sawa kabisa...
 
Mimi kama kuna harufu uwa inanikaata stimu ni harufu ya udi.. Personally uwa inanifanya nijihisi vibaya
 
Napenda hiyo kitu naitumia mara moja moja, naogopa nisijepata majini bureeee
 
Mdada, naona unajitahidi saana kubuni mambo ya chumbani. Mara shanga leo uudi. Sawa, ila kwetu wanasema; Usiige tembo kunya. Yapo mengi sana yanayohitajika kuidhibiti nyumba ila zaidi ya yote, mdada, uwe imara na umbile lako.
Zaidi ya yoote, usafi tu. Uwe mtulivu na ujua kuwa mwanamume ukimbembeleza ni ka mtoto mdogo. Hata kazini haendi na akenda ni kutoroka tu, hata Magu hamtishii nyau. Kisa, my waifu wangu. Sio udi wala shanga. Uwe imara na mtulivu. Wenzio wanaishia kutoa 0713 na bado wanatupwa nje ka taka
 
Naonaga mshkaji wangu anawasha akitaka kula marijuana kwakd!!!
 
Back
Top Bottom