Matumizi ya Udi ni kwaajili ya kufanya mweili wako unukie au nyumba/Chumbani kwako kuwa na harufu nzuri, kwa wanaume wanaopenda Udi ile harufu ya udi akiisikia basi humfanya kuwa na hamasa hata ya kufanya lile jambo.
Mwanamke ni Usafi na Udi ni moja ya kuboresha mazingira ya mapenzi, Hayo ndo matumizi yake, jinsi ya kutumia Raha ya udi ukiuchoma kwanza usiuchome na moto mkali kama wakuchomea mahindi, moto uwe mdogo mdogo ndo unaungua vizuri kwa taratibu na unaipata harufu ya kwanza mpaka ya mwisho,
Jinsi ya kujifukiza ukishaoga mwele mzima na papuchi yake uisafishe vyema achana na story za baadhi ya watu wanaodai kujisafisha kwa kutia kidole ndani ati ina madhara, madai yao wanake uchafu wetu hutoka wenyewe bila kusafisha ni uongo, nikisema kujisafisha huko kwa K unatia kidole kutoa takataka zote, then ukishaoga fresh, jipake mafuta kabla ya kujifukiza ili harufu ya udi ikae mwilini, na sasa hivi wameturahisishia kuna lotion au vijialud ni aina ya mafuta sabab ni strong sana weka kidogo kwenye mkono jipake kwenye mwili wako yani mwili mzima maeneo yote na hakikisha wakati unajifukiza mwili wako una maji maji , weka chetezo chako na moto weke udi jifunikie na khanga kwa juu moshi usisambae, ule moshi mana ndo hauruf yenyewe inapaswa ienee mwiili mzima na hata nywele pia fukiza na mumeo atafurahi sana.
Udi si kwa mume tu hata wewe mwenyewe unajisikia raha ukiwa unanukia na harufu inadumu kwa muda mrefu mwilini, unaweza fukiza chumbani, nguo na wewe mwenyewe.