Jamani natumai nyoote mu wazima wa afya...
Naomba Kwa wanaofahamu matumizi na faida za uddi Kwa mwanamke,kwani Mr.kaenda Zanzibar akaniambia anataka aniletee udii.
Kubali Udi unamambo mengi mazuri,kwanza harufi yake kwenye nyumba ukifusha,unaweza kufusha kanzu zake kama anavaa kanzu hasa ijumaa kwa ajili ya msikitini,au unaweza kufusha nywele zako akinusaa oooh raha tupu,ukifusha mwili ndio usiseme,ukifusha nguo ndio usiseme,sasa upate na Al Oud ile isio washa kama Misk nyeupe ujitie nyuma ya masikio kidogo,kwenye mapaja nyuma ya mgongo kwa chini kidogo,mengine ni PM ntakupa jinsi ya kufusha ukae vp kwenye chetezo..