Ngurumbili hawana jemaTatizo la ngulumbili, akionekana sana mtasema ooh anaonekana sana, sasa asipoonekana ohhh haonekani
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Siri za ndani na ziheshimiwe...
Kama vile walivyokua wanaziheshimiu za Mkapa na Mama Anna Mkapa...
EOTF ya mama Mkapa ilifanya vizuri sana kuliko mke yeyote wa raisTangu Rais Kagame aonekane wanazindua gari akiwa na Mama kule Rwanda, Sijamuona tena Huyu Baba yetu. Labda kilichoharibu ni zile kauli alizosema Mama kuwa kazi ya Mwanaume ni kuchangia mbegu tu, mambo mengine tuwaachie wao.
Namshauri Mume wa rais nae aanzishe mfuko wa kusaidia mikopo kwa Vijana. Kama vile mke wa Rais Kikwete alivyokuwa anasaidia Wanawake.
DuhSiri za ndani na ziheshimiwe...
Kama vile walivyokua wanaziheshimiu za Mkapa na Mama Anna Mkapa...
Kaz kweli kweliTatizo la ngulumbili, akionekana sana mtasema ooh anaonekana sana, sasa asipoonekana ohhh haonekani
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kumbuka Rais ni Icon yetu kama Taifa.Kwa muongozo huu naomba sasa DJ awalete jukwaani mods watufungie shughuli yetu.
Hakunaga ndoa pale,mswahilina na mlevi wapi na wapiHakuwepo. Au ndoa ishakufa labda.
Wajuaji watatupa jibu...Kidogo hii inaweza kuwa hoja sabili.
Lakini pale Ikulu kuna ofisi ya Mwenza wa Rais.
Isije ikatokea watu wabaya wakapitia kwake na kuleta changamoto kwenye Taasisi ya Rais.
Wataalam wa sheria wanalionaje hili!
Kumbuka Rais ni Icon yetu kama Taifa.
Kama mwenza wake anayo ofisi kwenye ofisi za Ikulu basi siyo kosa kuulizia uwepo wake.
Inawezekana hili linawakera watu fulani ambao wamepewa ile A.K.A ya wale wadudu wasumbufu kwenye nywele zetu
Hilo NenoMa first lady ndo wanapelekwa pelekwa. 1st Gentleman yuko na mambo yake.
🤣🤣🤣Wazanzibari hawana makuu, na vilevile sio watu wa kupelekeshwa.
Kuna siku askari wa usalama barabarani kamsimamisha dereva wa daladala anamwambia afike kituoni pale Malindi, dereva kamwambia usinizonge bwana, hizo sheria tu hata mimi nnazo kwa mke wangu, tangulia kituoni ntakuja.
Nikasema hapa ingekua Bongo ndugu zake wangekua wanamtafuta vituo vya polisi.
🤣🤣🤣lugha ya visiwani kabisaMmeanza tena
Yakheee! Sie hatupendi mazonge. Yanini kujisokota, msitushughulishe.
Muungano mwisho Chumbe!!!