Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,243
- 1,769
Una akili nyingi wewe, first gentleman aanzishe mfuko wa kina baba waliochoka.Tangu Rais Kagame aonekane wanazindua gari akiwa na Mama kule Rwanda, Sijamuona tena Huyu Baba yetu. Labda kilichoharibu ni zile kauli alizosema Mama kuwa kazi ya Mwanaume ni kuchangia mbegu tu, mambo mengine tuwaachie wao.
Namshauri Mume wa rais nae aanzishe mfuko wa kusaidia mikopo kwa Vijana. Kama vile mke wa Rais Kikwete alivyokuwa anasaidia Wanawake.