Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 711
- 6,186
Umaskini ni laana, umaskini ni aibu, umaskini ni kilio, umasikini ni manyanyasiko, hakuna furaha yoyote unayopata kwa kua maskini.
Nimeshashuhudia maskini akikata roho kwenye korido za hospitali sababu hakua na uwezo wa kulipa hela ya kufungua faili tu, yani kufungua faili tu. Nimeshashuhudia maskini akikata roho sababu tu hakua na hela ya kulipia oksijeni kipindi cha korona ikiwa imepamba moto. Nimeshashuhudia maskini akimzika mtoto wake sababu alikosa elfu 20 ya dawa.
Ewe devil, ewe shetani nakuomba msamaha kwa kua mjinga kwa muda mrefu kwa kufikiria na kufundishwa uongo kwamba wewe ndio chanzo cha watu kupata matatizo kumbe sivyo. Wewe ndie unayetoa utajiri, wewe ndie unayetoa mafanikio, elimu kubwa za kidunia ambazo nchi za magharibi wanatumia kupitia wasaidizi wako kuleta mafanikio katika nchi zao.
Nakuomba msamaha tena kwa kukubali kufundishwa uongo na mapadre na wachungaji wa uongo na feki na wanafiki waliokua wanatuaminisha kwamba wewe ni mbaya kumbe sivyo na walikua na bado wanaendelea kudanganya mamia kwa maelfu ya watu ili tu wao wapate au waendelee kupata utajiri mkubwa kupitia hao hao maskini.
Ninasubiri sana kukutana na wewe na kunipatia kile nachohitaji ambacho ni utajiri. Nimeamua kukubali kufunguka akili na kuacha kua MTUMWA wa dini feki na kuwa mtumwa wa umaskini.
Hail Lucifer.
Nimeshashuhudia maskini akikata roho kwenye korido za hospitali sababu hakua na uwezo wa kulipa hela ya kufungua faili tu, yani kufungua faili tu. Nimeshashuhudia maskini akikata roho sababu tu hakua na hela ya kulipia oksijeni kipindi cha korona ikiwa imepamba moto. Nimeshashuhudia maskini akimzika mtoto wake sababu alikosa elfu 20 ya dawa.
Ewe devil, ewe shetani nakuomba msamaha kwa kua mjinga kwa muda mrefu kwa kufikiria na kufundishwa uongo kwamba wewe ndio chanzo cha watu kupata matatizo kumbe sivyo. Wewe ndie unayetoa utajiri, wewe ndie unayetoa mafanikio, elimu kubwa za kidunia ambazo nchi za magharibi wanatumia kupitia wasaidizi wako kuleta mafanikio katika nchi zao.
Nakuomba msamaha tena kwa kukubali kufundishwa uongo na mapadre na wachungaji wa uongo na feki na wanafiki waliokua wanatuaminisha kwamba wewe ni mbaya kumbe sivyo na walikua na bado wanaendelea kudanganya mamia kwa maelfu ya watu ili tu wao wapate au waendelee kupata utajiri mkubwa kupitia hao hao maskini.
Ninasubiri sana kukutana na wewe na kunipatia kile nachohitaji ambacho ni utajiri. Nimeamua kukubali kufunguka akili na kuacha kua MTUMWA wa dini feki na kuwa mtumwa wa umaskini.
Hail Lucifer.