Nini maana ya 'kuoana'

Kuoana ni kuelewana

Kuoa ni kutafuta inayoendana

Kuolewa ni kuchukuliwa na endanifu

Lakini kwa tafsiri ya kidunia.
Kuoana ni kukubaliana kuishi na Adui nyumba moja.
Duh.....vipi kuhusu kuolewana??.?
 
Kwa mwanaume ukioa utafurahia ndoa na itadumu ila ukioana yaani mkioana kwa maana kwamba mwanamke naye amekuoa my bro ndoa yako ikifika miezi sita kaague.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom