mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Nakumbuka CUF iliwai kuwa cha kikuu cha upinzani na mara tu kilipopoteza wingi wa uwakilishi bungeni hawakujiita tena chama kikuu cha upinzani walikoma. Napata tabu kukielewa chama hiki cha Democrasia na Maendeleo Chadema kina baka hadi ukuu wakati kina mbunge 1 wa kuchaguliwa. Nini tafsiri maana CUF pia kinambunge 1 wa kuchaguliwa nao ni chama kikuu cha upinzani.
Inamaana ni kweli watu wanavyosema chama hiki kinapenda kitonga kilakitu, ni kweli?
Kwani Chadema walipataje kuwa chama kikuu cha upinzani maana hata NCCR MAGEUZI pia kiliwai kuwa chama kikuu cha upinzani lakini leo sio hawa Chadema vipi.
Mimi mtoto wa mchungaji sielewi, kwanini wasijiite chama cha mitusi ambavyo hivyo ndiyo kweli asili yao kuliko kubaka vyeo si vyao sasa hii si kujidhalilisha tu. Yaani mke mmeshaachana na taraka na kunamtu kamuona wewe bado unasema mkeo, kunatatizo.
Nakaribisha mitusi sasa.
Inamaana ni kweli watu wanavyosema chama hiki kinapenda kitonga kilakitu, ni kweli?
Kwani Chadema walipataje kuwa chama kikuu cha upinzani maana hata NCCR MAGEUZI pia kiliwai kuwa chama kikuu cha upinzani lakini leo sio hawa Chadema vipi.
Mimi mtoto wa mchungaji sielewi, kwanini wasijiite chama cha mitusi ambavyo hivyo ndiyo kweli asili yao kuliko kubaka vyeo si vyao sasa hii si kujidhalilisha tu. Yaani mke mmeshaachana na taraka na kunamtu kamuona wewe bado unasema mkeo, kunatatizo.
Nakaribisha mitusi sasa.