johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,793
- 141,688
Si Sawa kuzuia Chama Kikuu cha Upinzani kufanya Siasa zake za ndani nchi nzima
Vyama vya mifukoni vinajulikana lakini Chadema na ACT wazalendo Kule Zanzibar Wana majukumu ya kiserikali wanayotimiza ndio sababu wanapewa ruzuku, waachiwe wafanye Mikutano
Vinginevyo mtatengeneza Huruma ya Wananchi kwa Vyama vya Upinzani ambalo si jambo jema kwa CCM
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Vyama vya mifukoni vinajulikana lakini Chadema na ACT wazalendo Kule Zanzibar Wana majukumu ya kiserikali wanayotimiza ndio sababu wanapewa ruzuku, waachiwe wafanye Mikutano
Vinginevyo mtatengeneza Huruma ya Wananchi kwa Vyama vya Upinzani ambalo si jambo jema kwa CCM
Mungu wa mbinguni awabariki nyote