Nini kitatokea Polisi wakiruhusu Maandamano ya CHADEMA ?

Unajua kila kitu kina mwanzo, na wao kuruhusu maandamano ndio mwanzo wa wao kuondoka madarakani kwa wananchi na vyama vya siasa kupata ujasiri kwamba inawezekana.

Kinachozuiwa ndio hicho, hawataki kutoa nafasi.
Watatumia kila mbinu kuzuia maandano ya aina yoyote kupitia upinzani.
 
Hakuna wa kufanya maandamano hapa nchini.
IMG-20240119-WA0014.jpg
IMG-20240119-WA0013.jpg
IMG-20240119-WA0008.jpg
 
ChatGPT 4
You
Why most political leaders fears opposition demostration?


ChatGPT
Political leaders often fear opposition demonstrations for several reasons:
  1. Threat to Authority: Demonstrations can signal a significant amount of public discontent, which may threaten the existing political authority and the status quo.
  2. Potential for Escalation: Peaceful demonstrations can sometimes escalate into violence, leading to instability and a breakdown of law and order.
  3. Public Perception: Large-scale protests can shape public perception, both domestically and internationally, suggesting that the government is unpopular or ineffective.
  4. Political Momentum: Demonstrations can galvanize opposition movements, giving them momentum and possibly leading to more organized political challenges.
  5. Economic Impact: Protests, especially if prolonged, can have a negative impact on the economy, affecting businesses, investor confidence, and the country's overall economic performance.
  6. Pressure for Change: Demonstrations often demand change, which can challenge the policies, ideologies, or personal interests of current leaders.
In a democratic system, leaders are expected to respond to public concerns, but in authoritarian systems, demonstrations are often seen as a direct threat to the regime. The reaction of political leaders to opposition demonstrations can vary greatly depending on the political context and the nature of the regime
 
Habari JF , hivi nini kitatokea CDM wakiruhusiwa waandamane ?

Mbona ni kama maisha yataendelea hawata kuwa na madhara yoyote na Rais Samia atapata points za kuwa mwana demokrasia .

Binafsi sioni haja ya Polisi kutumia nguvu waachwe tu .
Njooni muwapige virungu na mabalozi kama mlivyozoea kumpiga Mdude.

Tusubiri.
 
Habari JF , hivi nini kitatokea CDM wakiruhusiwa waandamane ?

Mbona ni kama maisha yataendelea hawata kuwa na madhara yoyote na Rais Samia atapata points za kuwa mwana demokrasia .

Binafsi sioni haja ya Polisi kutumia nguvu waachwe tu .
nakuhakikishia maandamano yakiruhusiwa, hakuna shida yeyote itakayotokea. hakuna wizi, hakuna fujo wala chochote, hata zikitokea fujo jua polisi ndio wamefanya ili ionekane maandamano yanaleta fujo. mbona nchi nyingi tu watu wanafanya maandamano na hakuan shida? wanachoogopa, kizmkazi atashuka sana popularity, hicho ndio wanaogopa na ni kweli kitatokea. wananchi wataamka na kujiandaa kumpeleka zenji mwaka kesho.
 
nakuhakikishia maandamano yakiruhusiwa, hakuna shida yeyote itakayotokea. hakuna wizi, hakuna fujo wala chochote, hata zikitokea fujo jua polisi ndio wamefanya ili ionekane maandamano yanaleta fujo. mbona nchi nyingi tu watu wanafanya maandamano na hakuan shida? wanachoogopa, kizmkazi atashuka sana popularity, hicho ndio wanaogopa na ni kweli kitatokea. wananchi wataamka na kujiandaa kumpeleka zenji mwaka kesho.
Yakiruhusiwa hata ng'ombe kuku wata andamana mana na wao wamechoshwa na shida zilizopo mana kama binadamu tu anakosa maji na umeme ije kuwa wanyama???
 
Tatizo mboga mboga ni waoga Sana wana kila kitu kwenye mikono yao lakini wanashikwa woga, silaha yao kubwa ni ujinga wa waswahili akitokea mtu akataka kuwavua huo ujinga watampinga kwa nguvu zao zote, wameandaa majeshi kama wanaenda vitani Gaza au Ukraine, siku wenye nchi wakichoka mateso kwa vitendo magogoni patakua pachungu
 
Na kama madai ya wanaccm wengi kuwa kwa sasa Chadema imekwisha na hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuwaunga mkono, kuwaacha wafanye maandamano yao wakajikuta wapo wenyewe tu ingekuwa njia nzuri sana ya kuwamaliza. Kutumia mitutu ya bunduki na mabomu ya machozi ni kuwapa kiki kuwa CCM inawaogopa. Nakumbuka wakati wa maandamano ya Zanzibar Jaji Warioba alitoa ushauri kwa dola kuwa waacheni waandamane,wapeni ulinzi wateme nyongo zao jioni kila mtu atarudi nyumbani kulala na mkewe hadithi itaishia hapo. Lakini kiburi cha CCM na dola wakawapiga ,wakawaumiza na kuwaua na kilichotokea baada ya hapo kila mtu anakumbuka,taswira ya nchi ilichafuka sana. Waachwe waandamane jioni watarudi makwao maisha yataendelea.
 
Back
Top Bottom