Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,195
Hili ni swali ni debatable hadi kwa scientists wenyewe.
Inasemekana Jua litakufa baada ya miaka Billion 10...Faida na kazi za jua zinafahamika.
Ikiwa na maana zitacease na maisha yanaweza kuwa hati hati duniani. sio swali rahisi ni swali gumu saana.
Ila sisi hatutakuwepo maana kumaliza tu kabillion kamoja sio kesho.
Inasemekana Jua litakufa baada ya miaka Billion 10...Faida na kazi za jua zinafahamika.
Ikiwa na maana zitacease na maisha yanaweza kuwa hati hati duniani. sio swali rahisi ni swali gumu saana.
Ila sisi hatutakuwepo maana kumaliza tu kabillion kamoja sio kesho.