Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 4,038
- 3,034
Ngumu kutokea
Jua ndio kila kitu boss ndo linakufanya utembee, Ugegede, Ulie . Our Planet is powered by sunAsubuhi ule ubaridi unakuta watu wanasubiria jua litoke ili wajianike kama kenge
Sasa likipotea kabisa kama kwenye milima ya uluguru hapo ndio utajua jua lina umuhimu wake
Ni kufa tu
I know bossJua ndio kila kitu boss ndo linakufanya utembee, Ugegede, Ulie . Our Planet is powered by sun
Kabisa mkuu tena ni swali fikirishi sanaI know boss
Tatizo ni kuwa watu wamechukulia suala hili kama la kijinga na kukejeli sana lakini ni swali zito
Mkuu Mimi sikubaliani na wewe, kama in mtazamaji wa muvi hasa kwenye miaka ya 80 na 90 utagundua kuwa vitu vingi ambavyo vilikua vinaigizwa Leo hii no real, yaani vimekua hai..Kaka jaribu kuelewa nilichokiandika,naposema huwezi kuona kilicho nyuma yako,hakuhitaji shule hapo ni kwamba hapo hapo ulipo kaa na ulipo elekea huwezi kuona kilcho nyuma yako.
Pili unajengea hoja juu ya movie huku ni kufikiri kimakosa. Nini asili ya movie ni maigizo kama maigizo mengine hupunguza katika ukweli na huongeza katika ukweli,kwahiyo hii si hoja dhidi ya kile nilicho kiandika.
Tuandike ukweli na uhalisia
acha ujujiaji we mjingaKusema ukweli hii habari haifai kuwa jukwaa hili,swali lako hata mtoto anaweza jibu
hakuna jukwaa lenye hilo jina, ujuaji wote kumbe zero brain.Chit_ chart
Ikatokea likazima ghafla, mwezi hauwezi kuona ujinga huo na kuvumilia lazima utawaka.
