Kuna muvi nyingi tu za beyond imagination zinazohusu space, hivyo point yako siikubali kwa asilimia kubwa. Suala la kuona kilicho nyuma yangu ni simpo sana, unageuka basi unakiona, na kama ni kisogo ndio maana watu wakaja na vioo au kamera! Vioo zaidi ya kimoja ktk angle tofauti naweza ona kilichopo nyuma yangu in real time. Unafikiri waliokuja na wazo la kwenda ktk space, mwezini na sasa wamarekani wanataka kufanya the impossible kupeleka kifaa karibu kabisa na jua, bila hizi imagination wangeweza?Hakuna kufikiri beyond imagination,yaani ukifika huko lazima utakosea. Unajua kila kitu kina mipaka yake,hapa nataka nikupe mfano wa macho,mipaka ya macho iko ya sampuli mbili,mpaka wa kwanza ni kuto ona kile kisichodirikiwa na upeo wa macho yake,hapa pia kuna mifano kadha wa kadha,huwezi kuona kilicho nyuma yako wala kile kilcho zibwa na ukuta,na mpaka wa macho wa kujizuia kutazama vile usivyotakiwa kutazama. Hapa pia kuna mifano kadha wa kadha unaweza kuitafuta mifano hiyo na kuipata.
Hata akili ina mipaka yake,kuishughulisha akili au kuipa kazi akili kwa kile isichoweza kukidiriki ni kwenda kinyume ni uwezo wake yaani kukiuka mipaka yake.
Kama hujaelewa unaweza uliza swali.
Jua likizima au likitoweka dunia na sayari zengine zitaganda na kuwa barafu iliongumu zaidi ya chuma cha reli..no life.Habari zenu.
Mimi mi mpenzi sana wa mambo ya intelligence. Ni mgeni kidogo humu jf upande wa kuwa member. Jukwaa hili ndio limenishawishi niweze kuwa member kamili ili niweze shiriki vizuri jukwaani.
Hivi ktk ulimwengu wetu huu, jua kama ndio chanzo cha gravity, nishati nk, ikatokea limezima ghafla, ulimwengu utakuwaje? Haswa hapa ktk dunia yetu, ni nini kitatokea?
Asanteni.
Kaka jaribu kuelewa nilichokiandika,naposema huwezi kuona kilicho nyuma yako,hakuhitaji shule hapo ni kwamba hapo hapo ulipo kaa na ulipo elekea huwezi kuona kilcho nyuma yako.Kuna muvi nyingi tu za beyond imagination zinazohusu space, hivyo point yako siikubali kwa asilimia kubwa. Suala la kuona kilicho nyuma yangu ni simpo sana, unageuka basi unakiona, na kama ni kisogo ndio maana watu wakaja na vioo au kamera! Vioo zaidi ya kimoja ktk angle tofauti naweza ona kilichopo nyuma yangu in real time. Unafikiri waliokuja na wazo la kwenda ktk space, mwezini na sasa wamarekani wanataka kufanya the impossible kupeleka kifaa karibu kabisa na jua, bila hizi imagination wangeweza?
Hata hivyo, hii thread ni kwa ajili ya ku-provoke ideas endapo itatokea sababu kazi ya jua tunaijua ingawa kiuhalisia inasemekana haiwezi tokea.
maisha yataendelea vizuri kwa dakika 8 watu hawatajua chochote kama mwezi upo utaona unaanza kufifia ghafla unazima kisha giza zito litatokea anga likuwa jeusi tii
...baridi kali itaanza kutokea..
2.Baada ya hizo dkka 8 dunia itaacha kuzunguka hapo ndio utackia mzaramo akigonga kichina, kiaarabu...watu watataaruki na kukimbia kimbia lakini wakaofanya hivyo watakufa mapema zaidi mapafu yatafeli kwa hewa ya baridi.
3. siku chache tu mimea yote itakufa kwa kushindwa kufanya photosynthesis
nitarudia baadaye
Mkuu kasome tena...jua sio chanzo cha gravity.Habari zenu.
Mimi mi mpenzi sana wa mambo ya intelligence. Ni mgeni kidogo humu jf upande wa kuwa member. Jukwaa hili ndio limenishawishi niweze kuwa member kamili ili niweze shiriki vizuri jukwaani.
Hivi ktk ulimwengu wetu huu, jua kama ndio chanzo cha gravity, nishati nk, ikatokea limezima ghafla, ulimwengu utakuwaje? Haswa hapa ktk dunia yetu, ni nini kitatokea?
Asanteni.
Hilo jiwe lilidondokea wapi?Imagine miaka zaid ya milion nyuma kuna jiwe lilidondoka duniani kutoka outer space.lilitimka vumbi la hatari anga yote ya dunia ikakosa mwanga wa jua kwa miaka 20.hii ilipelekea dunia yote kuwa barafu.
ChatoHilo jiwe lilidondokea wapi?