Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Kuto timiza majukumu yao hasa wanawake.
Pia ni umalaya wetu sisi wenye uume ndio chanzo pia.
Suluhu ni kila mtu kutima wajibu wake na sisi kupunguza umalaya.
Pia wanawake waache kuleta ma house girl wanavutia!
Sikualiani nawe hata kidogo. Nimeshuhudia mwanamke anatimiza wajibu wake Kama mke ipasavyo kabisaaaa lakini mwanamume ni kimeo.
Mi nashangaa sana wanaume wanapotupa lawama kwa wanawake eti hawatimizi wajibu wao wakati wao hawawajibiki vilevile. Sasa Huyo beki tatu ndo atakava ze gepu?
Mimi nafikiri ni hulka tu waliyojijengea wanaume kutoka nje ya ndoa hata Kama mwanamke ni expert wa wajibu wake.