Mkaa Mweupe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 654
- 183
Leo katika Jambo Tanzania kuna habari ya kusikitisha kuhusu binti (15) anayesoma darasa la tano huko Lindi.
Binti huyo alikuwa ni mtoro na mvivu, walimu walipofuatilia wakabaini kumbe huwa baba yake huwa anamlala. Cha kushangaza ni kuwa binti huyo anaishi peke yake na mzazi huyo wa kiume baada ya kutengana na mkewe. Na tabia hii ni ya muda mrefu na pia baba huyo alitishia kumuua kama angelisema kuhusu vitendo anavyovifanya.
Jamani tusiwe tunaangalia mambo makubwa tuu na kusahau mambo ya kijamii yanayotuzunguka.
Nawasilisha
Source: TBC1 Jambo Tanzania
Binti huyo alikuwa ni mtoro na mvivu, walimu walipofuatilia wakabaini kumbe huwa baba yake huwa anamlala. Cha kushangaza ni kuwa binti huyo anaishi peke yake na mzazi huyo wa kiume baada ya kutengana na mkewe. Na tabia hii ni ya muda mrefu na pia baba huyo alitishia kumuua kama angelisema kuhusu vitendo anavyovifanya.
Jamani tusiwe tunaangalia mambo makubwa tuu na kusahau mambo ya kijamii yanayotuzunguka.
Nawasilisha
Source: TBC1 Jambo Tanzania