Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,717
- 29,074
Mzuka wanajamvi.
Binti mkubwa wa Dr Dre Latanya Young 40 ni homeless analala nje kwenye Gari la kukodi ambalo pia analitumia kwa shughuli za food delivery.
Dr Dre jina halisi Andre Romelle Young 59 rapper maarufu kutoka Marekani ambaye ana utajiri wa dollars za kimarekani billion moja hajawahi kuonana na kukutana uso kwa uso na binti yake huyo kwa muda wa miaka 20. Binti yake anasema hata namba yake ya simu haijui.
Single mother huyo mwenye watoto wanne Tatiyana 18, Rhiana 15, D'Andre 10 (jina la babu yake) na Jason 5 ni binti ya ex wa Dre Lisa Johnson ambaye aliachana na Dre Latanya akiwa na miaka mitano.
Tatiana anasema kwa kulia huwezi amini Dr Dre ni baba yangu na billionaire lakini naishi maisha magumu na ya kuunga unga na kulala nje.
Anasema anafanya kazi kwenye warehouse nakulipwa USD 15 kwa saa na pia kazi za food delivery uber eats na doordash.
LaTayna, mom of Tatiyana, 16, Rhiana, 13, D'Andre, eight, who is named after his grandfather, and Jason III, three, said: 'I've been working in a warehouse and doing Uber Eats and DoorDash.
Watoto wake wanaishi na marafiki haishi na yeye kwenye Gari.
'I'm taking odd jobs just to make it now - I got paid $15 an hour as an assembler at the warehouse.
'I'm trying to keep my head above water. I've been in debt for a while.'
Dr Dre hataki kabisa kuongea wala kumsikia binti yake huyo mkubwa eti kwasababu alimuongelea vibaya kwenye vyombo vya habari. Hata wajukuu zake hao wanne wameshangaa kwanini Babu yao hatakataa na hawajawahi kuonana naye.
Dr Dre alimlipa fidia Talaka mke wake mwengine 100 m usd Nicole young. Pia Dr Dre alitoa dollars million 7 cash ili atumbuize kwenye superbowl 2022.
Licha ya binti yake kuishi nje Dr dre anachangia sana mamilion ya dollars kwenye charities na mifuko mengine.
Binti mkubwa wa Dr Dre Latanya Young 40 ni homeless analala nje kwenye Gari la kukodi ambalo pia analitumia kwa shughuli za food delivery.
Dr Dre jina halisi Andre Romelle Young 59 rapper maarufu kutoka Marekani ambaye ana utajiri wa dollars za kimarekani billion moja hajawahi kuonana na kukutana uso kwa uso na binti yake huyo kwa muda wa miaka 20. Binti yake anasema hata namba yake ya simu haijui.
Single mother huyo mwenye watoto wanne Tatiyana 18, Rhiana 15, D'Andre 10 (jina la babu yake) na Jason 5 ni binti ya ex wa Dre Lisa Johnson ambaye aliachana na Dre Latanya akiwa na miaka mitano.
Tatiana anasema kwa kulia huwezi amini Dr Dre ni baba yangu na billionaire lakini naishi maisha magumu na ya kuunga unga na kulala nje.
Anasema anafanya kazi kwenye warehouse nakulipwa USD 15 kwa saa na pia kazi za food delivery uber eats na doordash.
LaTayna, mom of Tatiyana, 16, Rhiana, 13, D'Andre, eight, who is named after his grandfather, and Jason III, three, said: 'I've been working in a warehouse and doing Uber Eats and DoorDash.
Watoto wake wanaishi na marafiki haishi na yeye kwenye Gari.
'I'm taking odd jobs just to make it now - I got paid $15 an hour as an assembler at the warehouse.
'I'm trying to keep my head above water. I've been in debt for a while.'
Dr Dre hataki kabisa kuongea wala kumsikia binti yake huyo mkubwa eti kwasababu alimuongelea vibaya kwenye vyombo vya habari. Hata wajukuu zake hao wanne wameshangaa kwanini Babu yao hatakataa na hawajawahi kuonana naye.
Dr Dre alimlipa fidia Talaka mke wake mwengine 100 m usd Nicole young. Pia Dr Dre alitoa dollars million 7 cash ili atumbuize kwenye superbowl 2022.
Licha ya binti yake kuishi nje Dr dre anachangia sana mamilion ya dollars kwenye charities na mifuko mengine.