King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Ningekuwa nazijua hati mkato ningekukomesha leo hadi upate miscarriage ya mimba ya nitonye. Hivi mke mwenza Cookie anajua yanayoendelea?
Bishanga kweli umeshindwa kumwekea ndugu yako wa damu nitonye mdhamana kwa PAW?.. Siamini!
Nakerwa na namba 4 mnoo!