sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Zamana imeshindikana Bishanga, labda uje ujaribu na wewe, ila kweli nimeamini kweli klorokwini mchawi...khaaa!zamana vipi,Kova bado amekukomalia?
Zamana imeshindikana Bishanga, labda uje ujaribu na wewe, ila kweli nimeamini kweli klorokwini mchawi...khaaa!zamana vipi,Kova bado amekukomalia?
Hehehe, hujaona kwa hasira kamlamba nitonye life ban? Achana na hasira za cookie! Nilimkanya nitonye hakusikia lol..Ningekuwa nazijua hati mkato ningekukomesha leo hadi upate miscarriage ya mimba ya nitonye. Hivi mke mwenza Cookie anajua yanayoendelea?
Hahahaha! Mbavu zangu jamani.hahahahaha! Ameshushwa cheo. Sahv kazi yake kuchimba makaburi.
Nyama ndio inamaliziwa kuchomwa afu itawekwa!Nimekerwa wameweka tangazo la NDOVU..halafu hawajaweka hata tangazo la nyama choma
Hehehe! Haya mapenzi ya ghafla yameanza lini swahiba?? Ooh maskini shemeji yangu uporoto!
Katavi, Katavi, wee Katavi unaitwa huku chit chat na Husninyo! Anakuja swahiba.
Hivi kumbe toka unipigie kuwa ameondoka bila kuaga hajarudi mpaka leo???uporoto wiki ya pili hajarudi nyumbani. Bora nijidondoshe kwa katavi swahiba
Mi najionea raha tu..
Hivi kumbe toka unipigie kuwa ameondoka bila kuaga hajarudi mpaka leo???
Jidondoshe tu swahiba, tena nakuunga mikono na miguu, ukikwama kudondoka nijulishe nije nikusukumize kabisa mpaka umwangukie shemeji Katavi...
Hehehe!..nilikuwa na mpango wa kujitoa jf, ila nimeahirisha kwaajili yako..dah! Swahiba hakunaga kama wewe. Ndio maana nisipokuona siku nzima nakonda.
hako ka mkono hako wee kaba wewe ....kananikera.....
Hehehe!..nilikuwa na mpango wa kujitoa jf, ila nimeahirisha kwaajili yako..
kwanza ondoa hako kamkono hapo ndo ntakuPM na tuneno mwanana.
Your son kaula wa chuya!Katavi siku hizi una swagger za kiwaziri mkuu. Taratibu usiimbishe sana my son kawekeza hapo. Ntakutumia radi za buku hata uliposimama pasionekane!
Hehehe! Haitaweza kuilipua jf manake max melo kafunga rada ya uhakika, inaona na kuyeyusha mabomu kabla hayajaifikia jf!mi ndio sijitoi hadi serikali ilipue jf kwa mabomu.
Bukheri yakhe?
Nafurahi kama wewe bukheri, mie mzima kabisa!mie bukheri wa afya.. Mzima weye?