libent
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 382
- 84
mmmmmhhhhh????????????
Mkuu mbona umeguna kuna nini tena?
mmmmmhhhhh????????????
wachawi na wanga wao watakukera tu huwa hawakosekaniHabari yako bishanga,Mie bado mgeni sijapata la kunikera zaidi ya kufurahia kuwa member humu.
Heshima yako bishanga,jf ina raha zake (ndo mana tunaendelea kuwemo) lakini pia karaha zipo.Mdau hebu taja yanayokukera humu.
Binafsi nakerwa na yafuatayo:
1.Utakatifu: Kuna watu humu wanajitia wao ni watakatifu kuliko ma Sheikh wakuu na Maaskofu.Kwanini utake watu waishi kwa standards zako? live and let live bana.Yaliyobaki we niache na Mola wangu.
2.Ujuaji: Mtu anajikunja anarusha ka thread kake (tena maskini kalipia alfu internet cafe),we una comment '****' haki kweli? si umpotezee tu kuliko kumshushua?
3.Font: jamani font nyingine tunatumia zinaumiza macho hata kama umeandika mi pweint.
4.Hatimkato: Sa ingine mtu anaandika mambo ya msingi lakini lo lugha za sms...m2 huyu 2ro bcoz nampenda ur...jamani ndo nini sasa?
5.PM: Kuna watu humu (wanajifahamu) wame block kupokea PM,juu ya nini? saa ingine tuna maneno matamu na ya siri ya kukuPM,wewe flan wewe (name withheld) umeblock PM,unblock please nikunong'oneze kitu.
.........na wewe nini kinakukera.....?????
Bishanga kwa kweli kwa haya mawili hata mimi yananikera sana tena zaidi yako....Mtu anaandika vifupi hadi huelewi kabisa na bora pangekuwa na Dictionary ya hivyo vifupisho ingekuwa poa ila hakuna so inakuwa keroooooooooooo3.Font: jamani font nyingine tunatumia zinaumiza macho hata kama umeandika mi pweint.
4.Hatimkato: Sa ingine mtu anaandika mambo ya msingi lakini lo lugha za sms...m2 huyu 2ro bcoz nampenda ur...jamani ndo nini sasa?
Ni asali wa moyo.. Pole kwa kuchoma mahindi!Ni nani tena mpaka ukanichomesha mahindi pale getini
Wahi asee manake nakaribia kukata roho vile nammiss sweetheart,wala isikusumbue,ngoja niende kwa babu mlingotini.
btw kwenye mmu kuna mdau kafungua thread anauliza wanawake kwa nini mnacheat.
Bora tuko wengi, sijui huwa wanadhani na jf ni kwenye simu ndio mana wanabania maneno? Eti co= sio,Bishanga kwa kweli kwa haya mawili hata mimi yananikera sana tena zaidi yako....Mtu anaandika vifupi hadi huelewi kabisa na bora pangekuwa na Dictionary ya hivyo vifupisho ingekuwa poa ila hakuna so inakuwa keroooooooooooo
Hizo nne za mwanzo zinanikera sana, lakini hii ya 5 wala hainikeri kwani bado haijawahi kunifika na ikitokea ni ujumbe kuwa "hataki nimsumbue".5.PM: Kuna watu humu (wanajifahamu) wame block kupokea PM,juu ya nini? saa ingine tuna maneno matamu na ya siri ya kukuPM,wewe flan wewe (name withheld) umeblock PM,unblock please nikunong'oneze kitu..........na wewe nini kinakukera.....?????
Bora tuko wengi, sijui huwa wanadhani na jf ni kwenye simu ndio mana wanabania maneno? Eti co= sio,
2ishie = tuishie,
7bu= sababu, n.k, n.k khaaa, alifundisha mwalimu gani hiyo makitu!
Bora tuko wengi, sijui huwa wanadhani na jf ni kwenye simu ndio mana wanabania maneno? Eti co= sio,
2ishie = tuishie,
7bu= sababu, n.k, n.k khaaa, alifundisha mwalimu gani hiyo makitu!
Bora tuko wengi, sijui huwa wanadhani na jf ni kwenye simu ndio mana wanabania maneno? Eti co= sio,
2ishie = tuishie,
7bu= sababu, n.k, n.k khaaa, alifundisha mwalimu gani hiyo makitu!
Ni asali wa moyo.. Pole kwa kuchoma mahindi!
Bishanga kweli umeshindwa kumwekea ndugu yako wa damu nitonye mdhamana kwa PAW?.. Siamini!
Nakerwa na namba 4 mnoo!
Nakudai manake nimekuibia mtihani lol.Hiyo ya ya 7bu sikuijua ilikuwa inanisumbua sana
Wacha tu wifi, mie pia sijui nini kilimpata! Nimemmiss sana pia!hahaha ilikuwaje?nimemmic my bro jamani
Ni nani tena mpaka ukanichomesha mahindi pale getini