GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hayo ya 2019 yalikuwa maigizo ya Mbowe hamna la maana ! Hamna historia yeyote ya kujifunza hapo!
Kwa hiyo 2025 Mbowe hayupo mtafanikisha uchaguzi usifanyike au mtafanya nini sasa?
 
Mkuu!

Ww umeamua kumtetea sio mbaya! Hajashikiwa bango Fatma tu nilisema kwenye post zangu za juu kwamba
"She is not the pillar of society, she’s just one among many this year pushing citizens to participate in an election that is neither free nor fair.

The list of such individuals is long"

Anajichekesha tu lkn dawa imemuingia vzuri aache usanii!
Kwa nini mna deal na individuals hawa ambao wameshaamua kuto support NRNE badala ya ku focus kujenga ushawishi kwingine ambako mnaweza kupata support?

Don't you see this is an emotional and expensive exercise where you need to focus on strategic and efficient moves?
 
Mimi sitashiriki. Je, wewe ungekuwa hapa Tanzania, ungeshiriki?

Sijauliza kama wewe utashiriki, nimeuliza mtafanikisha kusimamisha uchaguzi?

Mimi nilipiga kura kwa miguu yangu kuondoka kwenye ujinga wote wa Tanzania tangu enzi za urais wa Mkapa.

Nilikataa kushiriki chaguzi za Tanzania tangu Augustin Mrema abadilishiwe matokea Dar es salaam.
 
Sijauliza kama wewe utashiriki, nimeuliza mtafanikisha kusimamisha uchaguzi?

Mimi nilipiga kura kwa miguu yangu kuondoka kwenye ujinga wote wa Tanzania tangu enzi za urais wa Mkapa.
Natumaini utarudi mara tu tutakapofanikiwa kuondoa huu "ujinga" na kuweka mifumo huru na ya haki itakayowezesha taifa kupata viongozi wa kweli kupitia chaguzi halali. Kama utakuwa Bado hai
Karibu tena Bongo
 
Natumaini utarudi mara tu tutakapofanikiwa kuondoa huu "ujinga" na kuweka mifumo huru na ya haki itakayowezesha taifa kupata viongozi wa kweli kupitia chaguzi halali. Kama utakuwa Bado hai
Karibu tena Bongo
Kwa mwendo wenu huu mkishafikia huko, kwa standards ninazotaka mimi, nitakuwa nishakufa miaka mingi tu.

Pia mimi, tofauti na wabongo wengi, nilihama kimoja sikuhama kwa muda halafu nirudi Tanzania. Nilijua hilo tangu naondoka.
 
Ndio maana upinzani hauna nguvu, sababu mitanzania mingi ni mipumbavu...
Mnalazimisha kila mtu akubaliane na mnavotaka
Vipi ile kampeni ya ku unfollow wasanii wakubwa imefikia wapi?
Lissu mbona hatumsikii mkimtetea sasa naona kimya juzi alikuwa mahakamani kinyonge mpaka mkazusha kawekewa sumu ....Mmemsahau?
Kwanini msiwe na ushirikiano na vyama vingine ? kwanini vyama vingine havitaki kuungana na CHADEMA kama kile kipindi cha UKAWA?
Makelele mengi mitandaoni lakini huku ground mbona kimyaaaa.....
 
Ndio maana upinzani hauna nguvu, sababu mitanzania mingi ni mipumbavu...
Mnalazimisha kila mtu akubaliane na mnavotaka
Vipi ile kampeni ya ku unfollow wasanii wakubwa imefikia wapi?
Lissu mbona hatumsikii mkimtetea sasa naona kimya juzi alikuwa mahakamani kinyonge mpaka mkazusha kawekewa sumu ....Mmemsahau?
Kwanini msiwe na ushirikiano na vyama vingine ? kwanini vyama vingine havitaki kuungana na CHADEMA kama kile kipindi cha UKAWA?
Makelele mengi mitandaoni lakini huku ground mbona kimyaaaa.....
Ni wapi umelazimishwa ukubaliane na upinzani? Je, kuna mtu aliyekushikia bunduki ili ukubaliane nao?
 
Ni wapi umelazimishwa ukubaliane na upinzani? Je, kuna mtu aliyekushikia bunduki ili ukubaliane nao?
Kwanini watu wanaotokea kutofaautiana mnawashambulia personally badala ya kutengua hoja zake ? Shangazi kaamua hayo ndio mawazo yake hivyo inakuwaje mnamnanga personally badala ya kujibu hoja zake ?
 
It's not numbers za wapiga kura. Ni numbers za members of public ambao wako tayari kususia uchaguzi. Even within Chadema, people are not happy with kususia uchaguzi. And you can just see that from public mood. Chadema wameshakosea mahesabu, asiyafutwe mchawi
😂 Uchaguzi ambao ni tume ya Rais nae akiwemo kwenye ushindani
 
Uchaguzi ambao ni tume yarais
Sawa,

Lakini hata wanaotaka mabadiliko kuna wanaotaka by evolution na kuna wanaotaka by revolution.

Kwa nini baadhi ya watu wanataka kulazimisha kila mtu akubaliane nao?

Mtu kama anataka kushiriki uchaguzi hiyo si haki yake pia, kwa nini mnataka kumlazimisha asishiriki?

Hiyo ni demokrasia gani ya kulazimishana mambo?
 
Dini,asili kwa kuzaliwa na jinsi yake lazima wawe bega kwa bega kudemka na "mbarikiwa kutoka kwa Mwamposa"!
NB:Uzee upo puani na haoni mbele atashika jani au shela.

Ambavyo ni opposite kwa Maria kwa hiyo lazima apinge kila kitu kwa kuwa asili, dini na jinsia ni tofauti na ya Mh. Rais. Siasa za Kikatoliki ni takataka kabis🤮🤮🤮
 
Sawa,

Lakini hata wanaotaka mabadiliko kuna wanaotaka by evolution na kuna wanaotaka by revolution.

Kwa nini baadhi ya watu wanataka kulazimisha kila mtu akubaliane nao?

Mtu kama anataka kushiriki uchaguzi hiyo si haki yake pia, kwa nini mnataka kumlazimisha asishiriki?

Hiyo ni demokrasia gani ya kulazimishana mambo?
Acha zako kwani kashikiwa panga kwamba akienda kupiga kura atakatwa akashiriki ni haki yake na sie wengine tutabaki home bila kushiriki ni haki yetu pia kulingana na mtazamo wetu
 
Acha zako kwani kashikiwa panga kwamba akienda kupiga kura atakatwa akashiriki ni haki yake na sie wengine tutabaki home bila kushiriki ni haki yetu pia kulingana na mtazamo wetu
Sasa kama haki yake mnapiga kelele za nini hapa?
 
Back
Top Bottom