Nini kimempata Dr. Mwigulu Nchemba?

Nini kimempata Dr. Mwigulu Nchemba?

Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.

Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.

Je, huyu mwenzetu nini kimempata?
Mkuu ungepiga hata kapicha ili tuone alivokua.
 
Hana furaha tena na maisha ya kisiasa,anatafuta faraja.
 
Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.

Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.

Je, huyu mwenzetu nini kimempata?
Duh! Maumivu ya kichwa huanza taratiibu, Kariibu Huyu mchawi Tb Joshua ataabudiwa.
 
Hivi wewe? Angeomba chumbani kwake mungu hamsikilizi???? Kwa TB Joshua Kuna zaidi ya Hilo la maombi.

Kuna imaani za kishirikina..
Kama binadamu yeyote, Mwigulu hajakamilika bado,hivyo basi anahitaji msaada utokao kwa Mungu. Mungu hutumia njia hii ya maombi kutujibu mahitaji yetu. Tazama,kila mtu ana haja yake ndani ya moyo wake. Ikiwa ni hivyo,kwamba maombi ni njia ya mahitaji yetu,basi tusipoomba hatuwezi kupokea.

Labda tuangalie mfano mdogo wa kawaida kabisa;

Chukulia una watoto watatu nyumbani mwako,alafu mtoto wako mmoja akawa na uhitaji wa kununuliwa daftari la mazoezi la hesabati. Kisha;mtoto huyo akawa kimya akisubiri umnunulie pasipo yeye kukuomba anachokihitaji kutoka kwako. Swali,je utamnunulia hilo daftari pasipo kukuomba? Utajuaje kama daftari lake limeisha na anahitaji daftari jingine? Ukweli ni kwamba,hutaweza kumnunulia kwa sababu hajakuomba,na inawezekana usijue kama limeisha.

Isaya 1:18
 
Una imani potofu Sana Mkuu. Soma uelewe..mengine yanahitaji uelewa mdogo
Acha urongo biblia inasema nalikujua tangu ukiwa tumboni mwa mama yako.hata uombe vipi kama Mungu hajapanga haitokuwa
 
maiti zilizookotwa kwenye viroba coco na Mto ruvu " damu iliyo mwagika ya akwilina jumlisha na machozi yaliyo mwagika ya lisu .. vina muandama "... atamaliza madhabahu yote lakini hilo jinamizi halitomuacha salama

nadhani sasa yupo kwenye dimbwi la majuto na ndio ameanza kutambua kwamba kuna maisha ya kawaida tofauti na uongozi " vyeo na madaraka
Kuratibu kifo cha Sengodo Mvungi.
 
TB.Joshua huyuhuyu wa kuwatabiria Wanasiasa maarufu 4 kutoka Tanzania kuwa watakuwa marais 2015?
Tena kila mtu alimtabiria kwa wakati wake.
Mmoja kati yao akapata.
Mungu hafanyi bahati nasibu, hana mikunjo.
Yule ni msanii tu ila watu wanamkubali mpaka hawaambiwi kitu.
Una uhakika kuwa waliotabiriwa hawakushinda kweli?

Kuna tofauti kati ya kushinda na kupewa mamlaka ya kuongoza.
 
Kwahiyo wewe unaamini Mungu anaweza kusema jambo na kisha mwanadamu na shetani wakazuia?
Refer kwa Daud aliyepingwa na Sauli asiwe mfalme lakini neno likasimama.
Kuna video inaonyesha TB.Joshua akimtabiria Lowasa kuwa atang'oa kiti cha urais 2015. Huyuhuyu pia alimtabiria Clinton. Torati 18:18-21. Inasema mtu akitabiri jambo na halijatimia Hugo hajatumwa na Mungu. Haijalishi kuwa lipo alilowahi kutabiri na likatokea.
Una uhakika kuwa waliotabiriwa hawakushinda kweli?

Kuna tofauti kati ya kushinda na kupewa mamlaka ya kuongoza.
 
Nafikiri matukio mengi sana ya kusikitisha yametokea chini ya uongozi, either alikuwa anatumwa au la, Mungu pekee ndio anajua, kisasi ni kazi ya Mungu, yeye aliamua kukaa kimya na kuacha uovu utamalaki, Mungu pekee ndio anajua kipimo sahihi cha matendo yake au uhusika wake.
 
maiti zilizookotwa kwenye viroba coco na Mto ruvu " damu iliyo mwagika ya akwilina jumlisha na machozi yaliyo mwagika ya lisu .. vina muandama "... atamaliza madhabahu yote lakini hilo jinamizi halitomuacha salama

nadhani sasa yupo kwenye dimbwi la majuto na ndio ameanza kutambua kwamba kuna maisha ya kawaida tofauti na uongozi " vyeo na madaraka
Hahahahaaa sasa kienda huko atasafishika na dhambi hizo mkuu?
 
Hivi wewe? Angeomba chumbani kwake mungu hamsikilizi???? Kwa TB Joshua Kuna zaidi ya Hilo la maombi.

Kuna imaani za kishirikina..
Kama hivyo ndivyo, basi watu tusingekuwa tunaenda kufanya maombi kanisani/masjid ili tukae tu ndani na tuombe tukiwa chumbani...
 
Nafikiri matukio mengi sana ya kusikitisha yametokea chini ya uongozi wake, either alikuwa anatumwa au la, Mungu pekee ndio anajua kipimo sahihi cha matendo yake au uhusika wake, yeye ndio mtoa hukumu wa haki, kisasi pia ni kazi yake, kipimo kile walicho wapimia wengine ndicho hicho hicho na wao watapimiwa.
 
Sawa kwani Tanzania hakuna makanisa? Mpaka Nigeria? Kweli iman kitu mbaya Sana.
Kama hivyo ndivyo, basi watu tusingekuwa tunaenda kufanya maombi kanisani/masjid ili tukae tu ndani na tuombe tukiwa chumbani...
 
Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.

Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.

Je, huyu mwenzetu nini kimempata?
Abdul mondo
Tesha
Bomu LA olasiti
Diwani was arumeru
Ugaidi lwakatare
Kijana wa Ndago
Kifo cha Dr. Mvungi
 
Back
Top Bottom