Nini kimempata Dr. Mwigulu Nchemba?

Nini kimempata Dr. Mwigulu Nchemba?

Kwahiyo wewe unaamini Mungu anaweza kusema jambo na kisha mwanadamu na shetani wakazuia?
Refer kwa Daud aliyepingwa na Sauli asiwe mfalme lakini neno likasimama.
Kuna video inaonyesha TB.Joshua akimtabiria Lowasa kuwa atang'oa kiti cha urais 2015. Huyuhuyu pia alimtabiria Clinton. Torati 18:18-21. Inasema mtu akitabiri jambo na halijatimia Hugo hajatumwa na Mungu. Haijalishi kuwa lipo alilowahi kutabiri na likatokea.
Una uhakika bi. Clinton na Lowassa hawakushinda kura za wananchi ?!
Sema magenge yaliwapa wapinzani wao uongozi.
 
Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.

Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.

Je, huyu mwenzetu nini kimempata?
Uwaziri kukosa, rais kukosa, anaombe kazi kwa musiba
 
Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.

Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.

Je, huyu mwenzetu nini kimempata?
Msomi kama Mwigulu hastahili kabisa kuamini katika muujiza hata kidogo
 
Raha ya milele uwape eeeeee bwana, na mwanga wa milele uwaangazie na familia zao uzidi kuzineemesha eee bwana, wapumzike kwa amani. Na majerui uzidi kuwapa afya eee bwana, wapone haraka aaaamen.
 
Mwigulu kashapoteza umaarufu wake!!
Ukipewa uwaziri kwa kipnd hiki nahis unapoteza credits nying mana jiwe uwa akilala vbaya tu unaye
 
Wanasemaga hata Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi, na hakuna binadamu mkamilifu. Na hakuna dhambi kubwa kuishinda nyingine,kama ulimuona huko ni jambo jema, binafsi namuunga mkono. Ni jambo jema mwanadamu kujitafakari, ukiona unakosea mahali unajirekebisha, na kama ulikosea na unatubu/kuomba msamaha kwa imani yako. Kuomba msamaha siyo jambo la fedheha, ni jambo jema na ni ukomavu.
Kwa nafasi aliyohudumu ilikuwa kubwa na iliyogusa wengi. Kukoseana ni kawaida, hivyo kuomba msamaha na kujutia mabaya ulitotenda siyo fedheha ni ujasiri, kama ilivyo kujipingeza ufanyapo mazuri/mema, vivyohivyo kujutia mabaya na kutubu au kuomba msamaha. Kuomba msamaha isitafsiriwe kama unyonge au Ujinga. Tuone ni ujasiri, kama ambavyo mtu unaweza kujiuzuru unapoona umeshindwa kudeliver au umekosea sana na ukawapisha wanao weza.
Imani yake na imponye na kila la kheri kwake.
 
Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.

Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.

Je, huyu mwenzetu nini kimempata?
Mkuu siku ukimuona anahudumiwa pze uje ufukue hili kaburi tumchek alikuwa na mapepo gani maana si kwa roho mbaya vile.
 
Siku akilipuka mapepo tujulishe,yesu wa Nigeria akawizi kudondosha ata wa heshmiwa
 
Back
Top Bottom