Nini kimempata Dr. Mwigulu Nchemba?

Nini kimempata Dr. Mwigulu Nchemba?

Yesu ni kwakila mtu wakila hari na alika
Yesu gani huyo aliyeko Nigeria, halafu ni Yesu gani huyo ambaye anawekwa akiba ili atumike wakati wa shida tu, mbona wakati wa raha hakuwahi kwenda huko aahaaa, kumbe wenye afya hawamhitaji Daktari bali walio hawawezi.
 
Afadhar ameonekana huko kuliko angeonekana kwa sangoma.....matatizo kila MTU anayo mtaalam......ila wengine ni vile hatujui tukimbilie wap kwnye msaada
 
Bado mengi yatajitokeza,tuongeze dua kwa Jiwe...
 
Kila akienda huko habari njema huwa zinatajwa kwake.
 
Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua,nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa naakionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua?tumezoea kuona watu wanaoenda kule niwatu wenye matatizo mazito.
Je huyu mwenzetu nini kimempata?
Nimepata taarifa kaenda kutubu na kuungama mabaya yake yote...
 
Anaogopa nguvu ya karma maana alifanya uhuni mwingi sana
 
Sio mara ya kwanza kwenda huko, kabla ya serikali ya JPM haijaingia madarakani alikwenda pia
 
Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua,nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa naakionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua?tumezoea kuona watu wanaoenda kule niwatu wenye matatizo mazito.
Je huyu mwenzetu nini kimempata?
Acha tu nimuonee huruma.. Maana wanaotumbuliwa wote huwekwa kwenye kona ambayo hawafurukuti kabisa... Hata zile chenchi na bakshish huwapitia mita mia
 
Kila la heri kwake. Kigwangala alipona kwenye ajili na kurudi Nzega waganga wa kienyeji na watumishi wa Mungu wote alihitaji huduma zao.
 
Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua,nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa naakionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua?tumezoea kuona watu wanaoenda kule niwatu wenye matatizo mazito.
Je huyu mwenzetu nini kimempata?
je wewe umgeni peke yako humu mnjini?
 
Back
Top Bottom