Katumbasongwe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,017
- 1,147
Let him do him deal with his karma.....!
Hii hapaaaaWeka picha
Kuna watu akili zenu zilishaganda, sasa kale ndio katukio kazito ka kumsafirisha mtu?Siku zote malipo ni hapa hapa dunian, alivomdhalilisha mtoto wa watu kuwa kajiteka, ni swala la mda tuu
Nyinyi si ndio mnasema dhambi zote husameheka?maiti zilizookotwa kwenye viroba coco na Mto ruvu " damu iliyo mwagika ya akwilina jumlisha na machozi yaliyo mwagika ya lisu .. vina muandama "... atamaliza madhabahu yote lakini hilo jinamizi halitomuacha salama
nadhani sasa yupo kwenye dimbwi la majuto na ndio ameanza kutambua kwamba kuna maisha ya kawaida tofauti na uongozi " vyeo na madaraka
Kuna wakati nakuona kama chizi kijana wangu, hapo huyo chaguo la miungu yako anahusika vipi na Mwigulu kwenda kwa Joshua? angalia waweza muita mumeo jpm wakati wa majambo yakakukuta ya kukukuta!JPM ni chaguo la MWENYE ENZI MUNGU walahi
wapi umeshaiona nukuu yangu ikisema kuwa dhambi zote husameheka ", kama ipo ilete hapa ... mkuu au umelewa nini mchana huu wajua kali ?Nyinyi si ndio mnasema dhambi zote husameheka?
Leo jinamizi litamuandamaje bila kikomo?
Ujinga ni kudhani kutenguliwa kwa Mwigulu anarudi kuwa sawa na wewe
We ushabiki wako umepitiliza aseeJPM ni chaguo la MWENYE ENZI MUNGU walahi
Hata yeye aliendaga na baadaye kumualika 😛JPM ni chaguo la MWENYE ENZI MUNGU walahi
Habarini wanajamvi
Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.
Je, huyu mwenzetu nini kimempata?