Nini kimempata Dr. Mwigulu Nchemba?

Nini kimempata Dr. Mwigulu Nchemba?

Kifupi albadiri imeanza kufanya kazi
 
Kama binadamu yeyote, Mwigulu hajakamilika bado,hivyo basi anahitaji msaada utokao kwa Mungu. Mungu hutumia njia hii ya maombi kutujibu mahitaji yetu. Tazama,kila mtu ana haja yake ndani ya moyo wake. Ikiwa ni hivyo,kwamba maombi ni njia ya mahitaji yetu,basi tusipoomba hatuwezi kupokea.

Labda tuangalie mfano mdogo wa kawaida kabisa;

Chukulia una watoto watatu nyumbani mwako,alafu mtoto wako mmoja akawa na uhitaji wa kununuliwa daftari la mazoezi la hesabati. Kisha;mtoto huyo akawa kimya akisubiri umnunulie pasipo yeye kukuomba anachokihitaji kutoka kwako. Swali,je utamnunulia hilo daftari pasipo kukuomba? Utajuaje kama daftari lake limeisha na anahitaji daftari jingine? Ukweli ni kwamba,hutaweza kumnunulia kwa sababu hajakuomba,na inawezekana usijue kama limeisha.

Isaya 1:18
Mkuu umeongea kiimani sana na wengi wanaamini usemayo.
Lakini nikwambie kitu, Mwenyezi Mungu hana formula, nikimaanisha hana mfumo rasmi.
Kufunga safari ili ukamuombe Mungu akutatulie shida zako, ni kumfinyanga Mungu na kumuumba kwa mifano yetu ya kufikirika.
Ndiyo maana unakuta mtu anagawa ama anatoa matoleo makubwa makubwa makanisani baada ya kufanikisha dili za kiharifu, kichwani mwake akitengeneza taswira ya Mungu wa mfano wa mtu!
Kwamba ukijipendekeza kwa mtu nwenye mamlaka, waweza kujaaliwa chochote!
Maombi si mpaka uyafungie safari. M/Mungu ni wa kidigitali, popote ulipo omba na utafanikiwa.
Hao unaowaona wakisafiri kwa maombi ni watu waliofungwa na unafiki, wakitaka walimwengu wawatambue uumini wao na pia wakimchukulia Mungu ni brother.
 
Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.

Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.

Je, huyu mwenzetu nini kimempata?
Mimi huyu bwana namkumbuka siku ile ya kuvamiwa wale askari walinzi wa benk crdb, pale Dar .
IGP kwa kushtukizwa usiku ule alienda kwenye tukio amevaa T-shirt (singland). Lakini Jomba alienda amevaa kijeshi !!!
Nikajiuliza kwa tukio lile la dharura. Unapata wapi muda wa kupiga magwanda na boot zake ??!!!!!.

Mwacheni akasali labda atafikiriwa awamu ijayo ya awamu ya tano. Si mbali
 
maiti zilizookotwa kwenye viroba coco na Mto ruvu " damu iliyo mwagika ya akwilina jumlisha na machozi yaliyo mwagika ya lisu .. vina muandama "... atamaliza madhabahu yote lakini hilo jinamizi halitomuacha salama

nadhani sasa yupo kwenye dimbwi la majuto na ndio ameanza kutambua kwamba kuna maisha ya kawaida tofauti na uongozi " vyeo na madaraka
True,pia ukisoma mambo ya malimwengu universe, roho yeyote ya asio hatia ikidhulumiwa nafsi haitoondoka duniani ni hadi ilipe kisasi kwa chain nzima na vizazi vyao kisha ndo uondoka duniani, Maana ililazimishwa.Hii lzm ilipe kisasi hata uwe gwiji wa ndumba lzm utavuna ulichopanda ni laws of nature. Katika vyote vyoote ogopa kumwaga damu ni laana utaishi kwa tabu na kutangatanga.
 
Yeye ni Binadamu kama binadamu wengine. Yawezekana ana mahitaji ya kiroho/kiimani kama wengine. Hivyo kwenda huko ni mahamuzi yako, hivyo tusimsema vibaya.

Watu husema setani akizeeke anabadilika na kuwa malaika
 
Hadi ufike huko yaani umeshindwa kujiombea una dhambi kubwa kubwa,Maana kuchoma gharama kuifata toba nayo ni shughuli. Siku zote huwa tunawaambia daladala si zenu nyie ni abiria mkifika kituoni mtashuka tu msiwele kwa kuweka vishoka,kupigiwa salute na kufunguliwa MILANGO ya GARI upunguza uwezo wa kufikiri kwa mwafrica.
Yeye ni Binadamu kama binadamu wengine. Yawezekana ana mahitaji ya kiroho/kiimani kama wengine. Hivyo kwenda huko ni mahamuzi yako, hivyo tusimsema vibaya.

Watu husema setani akizeeke anabadilika na kuwa malaika
 
Hadi ufike huko yaani umeshindwa kujiombea una dhambi kubwa kubwa,Maana kuchoma gharama kuifata toba nayo ni shughuli. Siku zote huwa tunawaambia daladala si zenu nyie ni abiria mkifika kituoni mtashuka tu msiwele kwa kuweka vishoka,kupigiwa salute na kufunguliwa MILANGO ya GARI upunguza uwezo wa kufikiri kwa mwafrica.

Nimependa hii Daladala si zenu nyie ni abiria mkifika kituoni mtashuka tu
 
True kama yule wa movie za kihindi likibuma achelewi kulia kwa baba Mchungaji, Makosa ni kuwapandisha madhabauni wadhambi wakubwa
Wakisha kosa vyeo na mamlaka ndio wanakimbilia huko.. ...
 
Anajiongopea ... damu za watu wengi sana na roho zao zina mlilia ... bado mke wa azory gwanda " ndugu wa ben saa 8 mioyo yao inafukuta kwa uchungu wakupotezwa kwa vipenzi vyao .. so sidhani kama hiyo karma itamuacha kiurahisi namna hiyo
Alishindwa kumjulia hali ndugu yake sababu ya vyeo vya kupita, historia itamsumbua sana,
 
Kipi kikusibu kikuu kuliko watu wasiojulikana
Afadhar ameonekana huko kuliko angeonekana kwa sangoma.....matatizo kila MTU anayo mtaalam......ila wengine ni vile hatujui tukimbilie wap kwnye msaada
 
Acha aende huenda akirudi atakuwa mtu mpya.
Kama akirudi na akawa mtu mpya basi kuna umuhimu wa sisi wengine kwenda iliili tukirudi tuwe watu wa zamani " wabaya" ili tutende sawa sawa na alivyokuwa yeye halafu avumilie.
 
Amekwenda kuiombea singida United ichukue ubingwa bara over.
 
ameenda kutubu maana roho yake itakua imeanza kumuhukumu kwa ushenz alioufanya kwa raia wema, pole sana mwigulu Mungu akurehem

unatakiwa kutubu kwa mungu aliumba mbingu au kutubu kwa joshua ambae nae huwa anauguwa
 
True,pia ukisoma mambo ya malimwengu universe, roho yeyote ya asio hatia ikidhulumiwa nafsi haitoondoka duniani ni hadi ilipe kisasi kwa chain nzima na vizazi vyao kisha ndo uondoka duniani, Maana ililazimishwa.Hii lzm ilipe kisasi hata uwe gwiji wa ndumba lzm utavuna ulichopanda ni laws of nature. Katika vyote vyoote ogopa kumwaga damu ni laana utaishi kwa tabu na kutangatanga.
Kuna watu wanajua kucheza na karma mkuu
....trust me wanaojua nini hasa maana ya asili ya dunia na uhai karma wanaweza kui_neutralise kabisa
....ila sio hizo story feki tulizokaririshwa za kwenye biblia na quaran
 
Back
Top Bottom