IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,715
- 8,118
...yeah nasikia kipindi chake maiti ziliokotwa sana pembezoni mwa mito,bahari etcmaiti zilizookotwa kwenye viroba coco na Mto ruvu " damu iliyo mwagika ya akwilina jumlisha na machozi yaliyo mwagika ya lisu .. vina muandama "... atamaliza madhabahu yote lakini hilo jinamizi halitomuacha salama
nadhani sasa yupo kwenye dimbwi la majuto na ndio ameanza kutambua kwamba kuna maisha ya kawaida tofauti na uongozi " vyeo na madaraka
....inawezekana anajua nini kilifanyika kaamua kwenda kunyutrolizi karma mkuu