Nini kimeikumba Dar Express?

Nini kimeikumba Dar Express?

Acha uzwazwa wewe na utambue njia ya kaskazini kuna magari mazuri na yenye huduma bora kushinda hiyo kanda ya kati ...

Kilimanjaro Exp
Tahmeed
Lim Safaris
Raqeeb
Na mengine mengi ..
 
Dar express ni brand kubwa sana kwenye tasnia ya usafirishaji Tanzania.

Ime-set standards nyingi kwenye usafirishaji hasa kwa kanda ya kaskazini ambao zimeigwa na mabasi mengine kwenda mikoa mingine.

Sasa hivi wana magari yamechakaa mno, hakuna maintainance. Pale highway pamechoka sana.

Nimekuwa naitumia hii kampuni kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Naamini kuna wadau ambao ni loyal customers wa hii kampuni bado wanaendelea kuitumia.

Najiuliza nini kimeikumba hii kampuni? Mfikishieni ujumbe mwenye kampuni, afanye juu chini hii kampuni isife kabisa.

Naamini kuna siku Dar express itarudi kwenye ubora tuliouzoea.
Imeset standards zipi mkuu!!?
 
Acha uzwazwa wewe na utambue njia ya kaskazini kuna magari mazuri na yenye huduma bora kushinda hiyo kanda ya kati ...

Kilimanjaro Exp
Tahmeed
Lim Safaris
Raqeeb
Na mengine mengi ..
Shabiby
Kimbinyiko
ABC

Japo wana mabasi ya kichina ila wapo vizuri sana kuliko mabasi yote ya kaskazini.

Naongea hivi kwasababu nimepanda mabasi haya na yale ya kaskazini.
 
Mkuu kwa taarifa yako dar es express korogwe hotel imeuzwa kwa Liverpool owner wa Liverpool motel mombo

Jambo usilolijua si vizuri kuliongelea.Kwa taarifa yako Highway imekodishwa na Mwarabu wa Liverpool.
 
laana ya marehemu kamwe haiwezi kumuacha mtu salama...

alichomfanyia kaka yake marehemu mzee mremi wa kibaha mungu anajua ...na ndio hicho kinachommaliza mali ya dhuruma hiyo hadi kaka yake amefariki analalamikia hyo dhuruma aliyofanyiwa

aliyestahili kuwa mwenye mali amefariki na hyo kampuni nayo lazma ifariki imfate marehem mzee mremi
ohooooo
 
Dar express ni brand kubwa sana kwenye tasnia ya usafirishaji Tanzania.

Ime-set standards nyingi kwenye usafirishaji hasa kwa kanda ya kaskazini ambao zimeigwa na mabasi mengine kwenda mikoa mingine.

Sasa hivi wana magari yamechakaa mno, hakuna maintainance. Pale highway pamechoka sana.

Nimekuwa naitumia hii kampuni kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Naamini kuna wadau ambao ni loyal customers wa hii kampuni bado wanaendelea kuitumia.

Najiuliza nini kimeikumba hii kampuni? Mfikishieni ujumbe mwenye kampuni, afanye juu chini hii kampuni isife kabisa.

Naamini kuna siku Dar express itarudi kwenye ubora tuliouzoea.

Miiko ya Kimizimu imekengeukwa / imekosewa.
 
Alijaribu kuwa tofauti na washindani wenzake akaleta Benz badala ya kuhamia kwa mchina.

Naungana na Bavaria kwamba tatizo kubwa lipo kwenye usimamizi na huduma. Hizo Benz na Scania zikitunzwa vizuri kuna wateja wataendelea kuyapanda tu.
 
Mhenga, asante.
Hii kampuni nadhani ni wazeembe tu kwenye maintenance ya magari yao. mfano Marcopollo za Abood bado ziko road na zinawaka na zina zaidi ya miaka 15(toka enzi ya Scandinavian express) ukiyaona rangi ni bado zawaka hata sasa.Kwa Dar Express hiyo haipo sasa sijui service ya engine na vingine.
 
Ulichokiandika hapa mkuu kina ukweli mkubwa sana,february mwanzoni nilikuwa na safari ya kaskazini huko nilipoenda nikapanda hizi gari,gari ilikuwa nzuri mno tulifika on time hii ilikuwa ni zile za kwenda Rombo Tarakea.wakati wa kurudi pia nikapanda gari za kampuni hii hii,barabara za kule zina kona nyingi sana basi ghafla njiani gari ikakataa kukata kona konda kuangalia hydraulic pipe za steering pump zimepasuka zinavuja mbaya kabisa.ikabidi tusubiri gari ya pili.gari ilipokuja nilikaa seat moja na bimkubwa mmoja akadai anaifaham vizuri familia ya mmiliki wa hii kampun na akawa analalamika kwamba toka huyo mzee alipoowa mke wa pili{akimuita mke mdogo}umakini na utendaji umeshuka sana maana huyo mama ameweka watu wake bila kujali kama wana nidham nzuri au hawana.pia kuna kitu kinachompotezea wateja,siku hizi kuna hii route ya kukatizia Bagamoyo na kuja kutokea Ubungo moja kwa moja,watu wengi wa kule safari zao wanasafiri na mizigo na wengi makazi yao ni kuanzia Kibaha kuja mpaka Kimara so mtu anaona aje mpaka Shekilango kisha achukue Bajaj au tax bora akapanda gari nyingine zinazopitia Kibaha.
 
Alijaribu kuwa tofauti na washindani wenzake akaleta Benz badala ya kuhamia kwa mchina.

Naungana na Bavaria kwamba tatizo kubwa lipo kwenye usimamizi na huduma. Hizo Benz na Scania zikitunzwa vizuri kuna wateja wataendelea kuyapanda tu.
Bahati mbaya sikuwahi ipanda ile Benz.

Ila napenda mtu au mfanyabiashara ambaye yupo Unique kwenye huduma zake.

Inakuwa rahisi kutengeneza loyal customers kwa haraka zaidi.

Sipendi hiyo michina ila kuna wakati najikuta sina jinsi inabidi niipande.
 
Ulichokiandika hapa mkuu kina ukweli mkubwa sana,february mwanzoni nilikuwa na safari ya kaskazini huko nilipoenda nikapanda hizi gari,gari ilikuwa nzuri mno tulifika on time hii ilikuwa ni zile za kwenda Rombo Tarakea.wakati wa kurudi pia nikapanda gari za kampuni hii hii,barabara za kule zina kona nyingi sana basi ghafla njiani gari ikakataa kukata kona konda kuangalia hydraulic pipe za steering pump zimepasuka zinavuja mbaya kabisa.ikabidi tusubiri gari ya pili.gari ilipokuja nilikaa seat moja na bimkubwa mmoja akadai anaifaham vizuri familia ya mmiliki wa hii kampun na akawa analalamika kwamba toka huyo mzee alipoowa mke wa pili{akimuita mke mdogo}umakini na utendaji umeshuka sana maana huyo mama ameweka watu wake bila kujali kama wana nidham nzuri au hawana.pia kuna kitu kinachompotezea wateja,siku hizi kuna hii route ya kukatizia Bagamoyo na kuja kutokea Ubungo moja kwa moja,watu wengi wa kule safari zao wanasafiri na mizigo na wengi makazi yao ni kuanzia Kibaha kuja mpaka Kimara so mtu anaona aje mpaka Shekilango kisha achukue Bajaj au tax bora akapanda gari nyingine zinazopitia Kibaha.
Njia ya bagamoyo sio nzuri kwa magari ya kwenda kaskazini kwasababu asilimia kubwa ya wateja wao wanakaa along morogoro road.
 
Dar express ni brand kubwa sana kwenye tasnia ya usafirishaji Tanzania.

Ime-set standards nyingi kwenye usafirishaji hasa kwa kanda ya kaskazini ambao zimeigwa na mabasi mengine kwenda mikoa mingine.

Sasa hivi wana magari yamechakaa mno, hakuna maintainance. Pale highway pamechoka sana.

Nimekuwa naitumia hii kampuni kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Naamini kuna wadau ambao ni loyal customers wa hii kampuni bado wanaendelea kuitumia.

Najiuliza nini kimeikumba hii kampuni? Mfikishieni ujumbe mwenye kampuni, afanye juu chini hii kampuni isife kabisa.

Naamini kuna siku Dar express itarudi kwenye ubora tuliouzoea.


eeeh haya mabasi bado yapo?
 
Kuna 2 by 1 Tahmeed ya Nairobi tu Dar hio Ni zaidi ya Daraja la juu, Uhangaike na marcopolo ya nini 2 by 2 seat
 
Back
Top Bottom