Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,901
- 28,013
Daah....Desember inakuaga nomaa sanaNeema za Mungu kachoka sana aisee ila bila kunipandisha dar express najiona kama sijafika Arusha
Daah....Desember inakuaga nomaa sanaNeema za Mungu kachoka sana aisee ila bila kunipandisha dar express najiona kama sijafika Arusha
Scania ni machine mzee ata zaidi ya miaka 10Hizo ndo gari nnazopanda nikitoka arusha.
Zile gari nzuri sana. Zikiwa na utunzaji mzuri zinaweza kukaa sokoni hata miaka 10 ijayo.
Hata mm gari yangu always ni Dar Express. Ikifa ntasikitika sanaNeema za Mungu kachoka sana aisee ila bila kunipandisha dar express najiona kama sijafika Arusha
Yaan adi ukishuka unahisi mwil wa bard....Juzi nilienda msibani Moshi nikapanda BM VIP sh 35000 aisee very classic....kiyoyozi, charger, movies, music etc
Duuh! Haya mapya sasalaana ya marehemu kamwe haiwezi kumuacha mtu salama...
alichomfanyia kaka yake marehemu mzee mremi wa kibaha mungu anajua ...na ndio hicho kinachommaliza mali ya dhuruma hiyo hadi kaka yake amefariki analalamikia hyo dhuruma aliyofanyiwa
aliyestahili kuwa mwenye mali amefariki na hyo kampuni nayo lazma ifariki imfate marehem mzee mremi
kumbee na hayo yapo! mkuu kama vp kajipange uje utiririke vizuri! sie tunapandaga tu hayo magari hatuji lolote!
Dar express ni brand kubwa sana kwenye tasnia ya usafirishaji Tanzania.
Ime-set standards nyingi kwenye usafirishaji hasa kwa kanda ya kaskazini ambao zimeigwa na mabasi mengine kwenda mikoa mingine.
Sasa hivi wana magari yamechakaa mno, hakuna maintainance. Pale highway pamechoka sana.
Nimekuwa naitumia hii kampuni kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Naamini kuna wadau ambao ni loyal customers wa hii kampuni bado wanaendelea kuitumia.
Najiuliza nini kimeikumba hii kampuni? Mfikishieni ujumbe mwenye kampuni, afanye juu chini hii kampuni isife kabisa.
Naamini kuna siku Dar express itarudi kwenye ubora tuliouzoea.
Sawa lakini ujue kuwa kwa soko la sasa wasafiri wanaangalia sana namba. Mara nyingi wanauliza namba D series linajaa kwa sasa kuliko C na B. A peleka ambako hakuna lami. Kwa maana hiyo ni heri kuwa na basi linalochakaa mapema mradi tu liwe na series za wakati huo. Kwa sasa heri kununua za kichina kuliko scania.Hizo ndo gari nnazopanda nikitoka arusha.
Zile gari nzuri sana. Zikiwa na utunzaji mzuri zinaweza kukaa sokoni hata miaka 10 ijayo.
hajui kuwa hata magari mengi yanayopita hiyo njia ya kati n ya watu wa kaskazn?Unaumwa wewe
hajui kuwa hata magari mengi yanayopita hiyo njia ya kati n ya watu wa kaskazn?Unaumwa wewe
Hata KLM anaanza kuchoka, basi zake zimekuwa below average kwa muda sasa, hawa jamaa wawili wasipoangalia watapotezwa, japo bado wana loyal customers wengi.Sidhani shida ni mchina.
Hata Kilimanjaro ana scania ila zinatunzwa vizuri kuliko za Dar express.
Hood imeshajifia kama haijafa basi inabangaiza mnoooZama hizi ukijifanya mbishi eti hutaki kwenda na hali halisi inavyotaka lazima wende na maji.
Kuna kampuni nyingine kubwa na ya muda mrefu ya HOOD hii nayo magari yake tia maji tia maji sana , hii nayo inakoelekea sio kuzuri kabisa
hii story n kwelingoja nikupe kwa kifupi tuu...
marehemu mzee mremi aliyekuwa anaishi kibaha ambaye ni kaka wa tumbo moja na huyo mremi mmiliki wa dar express
alikuwa mtu mkubwa serikalini kipindi cha awamu ya kwanza hadi mwanzo wa awamu ya tatu...
kwa kipindi kile kama unavyojua ukiwa karibu na baba wa taifa mwenyew tu utaona aibu kujilimbikizia mali... sasa yy akawa akipiga hela za serikali anampa mdogo wake aanzishie biashara ili yy asistukiwe kuwa ni fisadi ndio mdogo wake akaanzisha hyo dar express
sasa msala umekuja kaka mtu (mzee mremi wa kibaha) alivyostaafu anamwambia mdogo ake zile mali zangu vipi? jibu la mdogo mtu likawa mali zipi? una mali hapa wewe? kesi ilikuwa kubwa hadi wazee wa ukoo wakaitwa vituko ni pale mdogo mtu aliposema basi nakupa mabasi mawili kaka mtu alihuzunika sana akaamua kususa
maisha yake yake hayakuwa mabaya alikuwa na uwezo tu ila sio tajiri kihivyo ila licha ya kususa maisha yake yote amekuwa na mgogoro na mdogo wake kuhusu hayo magari hadi mauti yalipomkuta mwaka juzi
kitu kizur ni kwamba alisomesha watoto wake na wote wapo vizuri
ila huyo mzee mremi wa dar express siyo mtu kamtenda kaka yake wa damu kabisa
Mkuu kwa taarifa yako dar es express korogwe hotel imeuzwa kwa Liverpool owner wa Liverpool motel momboDar express ni brand kubwa sana kwenye tasnia ya usafirishaji Tanzania.
Ime-set standards nyingi kwenye usafirishaji hasa kwa kanda ya kaskazini ambao zimeigwa na mabasi mengine kwenda mikoa mingine.
Sasa hivi wana magari yamechakaa mno, hakuna maintainance. Pale highway pamechoka sana.
Nimekuwa naitumia hii kampuni kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Naamini kuna wadau ambao ni loyal customers wa hii kampuni bado wanaendelea kuitumia.
Najiuliza nini kimeikumba hii kampuni? Mfikishieni ujumbe mwenye kampuni, afanye juu chini hii kampuni isife kabisa.
Naamini kuna siku Dar express itarudi kwenye ubora tuliouzoea.
Mara yako kupita pale ni lini?Mkuu kwa taarifa yako dar es express korogwe hotel imeuzwa kwa Liverpool owner wa Liverpool motel mombo