ngoja nikupe kwa kifupi tuu...
marehemu mzee mremi aliyekuwa anaishi kibaha ambaye ni kaka wa tumbo moja na huyo mremi mmiliki wa dar express
alikuwa mtu mkubwa serikalini kipindi cha awamu ya kwanza hadi mwanzo wa awamu ya tatu...
kwa kipindi kile kama unavyojua ukiwa karibu na baba wa taifa mwenyew tu utaona aibu kujilimbikizia mali... sasa yy akawa akipiga hela za serikali anampa mdogo wake aanzishie biashara ili yy asistukiwe kuwa ni fisadi ndio mdogo wake akaanzisha hyo dar express
sasa msala umekuja kaka mtu (mzee mremi wa kibaha) alivyostaafu anamwambia mdogo ake zile mali zangu vipi? jibu la mdogo mtu likawa mali zipi? una mali hapa wewe? kesi ilikuwa kubwa hadi wazee wa ukoo wakaitwa vituko ni pale mdogo mtu aliposema basi nakupa mabasi mawili kaka mtu alihuzunika sana akaamua kususa
maisha yake yake hayakuwa mabaya alikuwa na uwezo tu ila sio tajiri kihivyo ila licha ya kususa maisha yake yote amekuwa na mgogoro na mdogo wake kuhusu hayo magari hadi mauti yalipomkuta mwaka juzi
kitu kizur ni kwamba alisomesha watoto wake na wote wapo vizuri
ila huyo mzee mremi wa dar express siyo mtu kamtenda kaka yake wa damu kabisa
Mlamba Chumvi Cham Bee ras jeff kapita