simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Hao watekaji walishindwa hata kuchungulia madirishani kuona wako wapi?
They were fools.
Sure, but we are greater fools. Anyway, hili lilikuwa tukio la pili la utekaji ndege . La kwanza "limefanikiwa" ndege imetuwa Heathrow airport, watekaji wamenyeshewa mvua kumi na judge mzungu hapo old Bailey. Mwalimu kapigwa butwaa, washenzi kweli hawa. Washenzi sifa maanake.