Michael Mtitu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 691
- 509
Kumbe na Tz enzi hizo waliluwepo akina Dan Cooper!
Ila vijana wa zamani walikuwa jasiri sana.
Ila vijana wa zamani walikuwa jasiri sana.
Tena mbili Boeing 737Yaani mwaka 1982 tulikua tunamiliki BOEING afu leo 2017 tunamiliki Bombadier,hatariiii
In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
Walau wapongeze walifanikiwa kulala na aliyekuzaa vinginevyo usingekuwepo kabisa. Ashakum.tulia wewee. Nyinyi ndio wakulaumiwa kwa maisha magumu tunayopitia nakuyapata Leo. Vijana wamiaka hiyo mlikuwa hovyo kabisa. Mngekuwa makini kama vijana wa miaka hiyo wa nchi zilizoendelea tusingekuwa tunaishi maisha ya ngeseki hata maji safi tu nq salama ni anasa. Vijana wazamani ni wakulaumiwa kabisa
Yaani nimecheka mbavu zinauma hapaUtekaji uliongozwa na KAPTAIN KISODA...alijiita hivyo na walikuwa na MAEMBE...waliwatishia abiria....walisika wakisema....ASALAM ALIKHUM MABIBI NA MABWANA.....MIMI NI mnionae hapani KAPTAIN KISODA....kuanzia sasa hili JIDEGE LAELEKEA KARACHI....kama mwataka haya hamtaki haya...na hili nililolishika ni BOOMU hili msidhani EMBE....hao jamaa walikuwa wazanzibar
Sent using Jamii Forums mobile app
dah nimecheka hadi machozi yamenitoka. Hv started the week in styletWalau wapongeze walifanikiwa kulala na aliyekuzaa vinginevyo usingekuwepo kabisa. Ashakum.
tulia wewee. Nyinyi ndio wakulaumiwa kwa maisha magumu tunayopitia nakuyapata Leo. Vijana wamiaka hiyo mlikuwa hovyo kabisa. Mngekuwa makini kama vijana wa miaka hiyo wa nchi zilizoendelea tusingekuwa tunaishi maisha ya ngeseki hata maji safi tu nq salama ni anasa. Vijana wazamani ni wakulaumiwa kabisa
tulia wewee. Nyinyi ndio wakulaumiwa kwa maisha magumu tunayopitia nakuyapata Leo. Vijana wamiaka hiyo mlikuwa hovyo kabisa. Mngekuwa makini kama vijana wa miaka hiyo wa nchi zilizoendelea tusingekuwa tunaishi maisha ya ngeseki hata maji safi tu nq salama ni anasa. Vijana wazamani ni wakulaumiwa kabisa