kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
wakuu nimewasoma, ukweli inasikitisha sana na ninamuonea huruma BOBAN, kutoka timu iliyo qualify kushiriki michuano ya UEFA na kuamua kurudi ligi yetu ya nyumbani ni anguko kubwa sana kimaendeleo, nafikiri hii inadhihirisha kukosa mshauri wa karibu, huenda kisaikologia hayuko fine, maana haiingii akilini hata kidogo,