Hatimaye mchezaji Mtanzania aliyekuwa akicheza soka la kulipwa nchini Sweden Haruna Moshi amerejea nchini na kusema hana mpango wa kurejea tena nchini sweden.
Tunaomba Agent wake aongee ukweli na si kuficha. Kwani kuna wanaosema alikuwa akipokea fedha kidogo kutokana na makato makubwa ya kodi, kuna wanaosema aliingizwa mjini na wakala wake katika swala la mkataba na wengine wanasema hakufurahishwa na namba aliyokuwa akipangwa kwa kuchezeshwa kama kiungo mkabaji.
Ni hayo tuuu
Tunaomba Agent wake aongee ukweli na si kuficha. Kwani kuna wanaosema alikuwa akipokea fedha kidogo kutokana na makato makubwa ya kodi, kuna wanaosema aliingizwa mjini na wakala wake katika swala la mkataba na wengine wanasema hakufurahishwa na namba aliyokuwa akipangwa kwa kuchezeshwa kama kiungo mkabaji.
Ni hayo tuuu