Ubambikiaji umekuwa sera rasmi ya wanakijani na wasaidizi wao.Wanayaona Wanayasikia wana agiza
Mahakama KUU Mbeya emwachia MDUDE wa CHADEMA kwa kuwekewa MADAWA ya KULEVYA na POLISI ni DOSARI KUBWA kwa JESHI nilitarajia RPC MBEYA ANGEWAJIBIKA kwa Kulitia Dosari JESHI kuwa Linawafanyia hivyo RAIA lakini Yupo anachapa kazi
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app