DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 285
- 1,449
Habari wa jf.
Kuna jambo hapa naomba tushirikishane kwa wenye ufahamu, nimeona kwenye habari leo kwamba nyumba moja huko Mwanza imeungua moto. Na ndani yake kulikua na watu 7. Watu 6 kati yao walifariki on spot na mwingine kalazwa hospitali akiendelea na matibabu. Sababu za moto ni hitilafu ya umeme.
Habari zinasema kutoka kwa timu ya uokozi zinasema baada ya wale watu kugundua kuna moto, watano kati yao walikimbilia katika chumba kimoja nadhan kilichokua na nafuu, na moto ulipofika hapo pia, wakakosa option.
Sasa natafakari, hii ajali inaweza mpata mtu yeyote, nini cha kufanya ambacho mnadhani kinaweza saidia kuokoa maisha, ikiwa upo ndani ya nyumba iliyoshika moto.
Binafsi nnachojua ni kimoja tu, usije jaribu kufungua mlango ambao umefunga na funguo au makomeo maana hautafunguka so utakua unapoteza muda. Sababu ni vitu vyote vikishika moto hutanuka. So funguo, komea hata mlango wenyewe huwa vimetanuka sana. So ile kuhangaikia mlango ni bora kufanya kitu kingine tuu.
Halafu kwanini tunasisitizwa kuwa na fire extinguisher kwenye magari, kwenye fremu za biashara, lakini hatujawahi himizwa kuwa nazo majumbani. Hili nadhani ni muhimu pia kwa tahadhari, mtu kama unao uwezo, nunua hii kitu, then unakaa nayo tuu home
Uzi tayari
Kuna jambo hapa naomba tushirikishane kwa wenye ufahamu, nimeona kwenye habari leo kwamba nyumba moja huko Mwanza imeungua moto. Na ndani yake kulikua na watu 7. Watu 6 kati yao walifariki on spot na mwingine kalazwa hospitali akiendelea na matibabu. Sababu za moto ni hitilafu ya umeme.
Habari zinasema kutoka kwa timu ya uokozi zinasema baada ya wale watu kugundua kuna moto, watano kati yao walikimbilia katika chumba kimoja nadhan kilichokua na nafuu, na moto ulipofika hapo pia, wakakosa option.
Sasa natafakari, hii ajali inaweza mpata mtu yeyote, nini cha kufanya ambacho mnadhani kinaweza saidia kuokoa maisha, ikiwa upo ndani ya nyumba iliyoshika moto.
Binafsi nnachojua ni kimoja tu, usije jaribu kufungua mlango ambao umefunga na funguo au makomeo maana hautafunguka so utakua unapoteza muda. Sababu ni vitu vyote vikishika moto hutanuka. So funguo, komea hata mlango wenyewe huwa vimetanuka sana. So ile kuhangaikia mlango ni bora kufanya kitu kingine tuu.
Halafu kwanini tunasisitizwa kuwa na fire extinguisher kwenye magari, kwenye fremu za biashara, lakini hatujawahi himizwa kuwa nazo majumbani. Hili nadhani ni muhimu pia kwa tahadhari, mtu kama unao uwezo, nunua hii kitu, then unakaa nayo tuu home
Uzi tayari