Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,354
- 23,255
Mimi nadhani ni muoga sana, chumbani kwangu tuliacha nafasi ndogo ya mtu kupita tukaweka mlango usio na komeo na tukapaka rangi vizuri hata ukiwa nje huwezi jua kama pale ni mlango ambao likitokea lolote mtu anapiga teke unafunguka.
Vyumba vyote nimetoa funguo na nimewaambia watoto likitokea lolote wakimbilie chumbani kwangu.
Mwisho wa yote tusisahau Muomba Mungu atuepushe maana kama ilipangwa ufe kwa moto haijalishi umechukua tahadhari gani utakufa tu
Vyumba vyote nimetoa funguo na nimewaambia watoto likitokea lolote wakimbilie chumbani kwangu.
Mwisho wa yote tusisahau Muomba Mungu atuepushe maana kama ilipangwa ufe kwa moto haijalishi umechukua tahadhari gani utakufa tu