Nini kifanyike endapo nyumba yako imeshika moto usiku mkiwa ndani

Kitu kingine ni kuweka mlango wa dharura kwenye dirisha. Unaweka kamlango kadogo kwenye grili labda la chumba cha baba na mama na unalifunga na kakufuli kadogo ambako kakipigwa hata nyundo kanaachia.Watu wote wambiwe ikitokea dharura wakimbilie kwenye hicho chumba.
Ikiwa dharura imetokea kwenye hako ka chumba je?
 
Naona kuwa na fire extinguisher ndani ni muhimu sana. Kila nyumba iwe nayo na mgeni yoyote anapoingia kulala mfano house girl afundishwe.
 
Naona kuwa na fire extinguisher ndani ni muhimu sana.Kila nyumba iwe nayo na mgeni yoyote anapoingia kulala mfano house girl afundishwe.
Haya mambo ni zali tu unaweza ukawa na fire extinguisher halafu ukakuta moto umeanzia huko huko mwenye ipo halafu huku ulipo kukawa kupo shwari.

Utathubutu kuifata fire extinguisher kwenye moto?
 
Tatizo zile nondo kwenye madirisha. Nadhani ni muhimu nyumba iwe na milango mitatu. Moto ukianzia sebleni mnatokea milango mingine. Milango mingine isitokee sebleni.
Pia huu mfumo wa kuweka nondo madirishani inabidi tuache.
Maana ukitokea moto kutoka ni haiwezekani.
Dada bila nondo mtatusumbua
 
Mimi nishasema siku nitakapomaliza nyumba yangu basi marufuku kuweka nondo .
Tatizo zile nondo kwenye madirisha. Nadhani ni muhimu nyumba iwe na milango mitatu. Moto ukianzia sebleni mnatokea milango mingine. Milango mingine isitokee sebleni.
Pia huu mfumo wa kuweka nondo madirishani inabidi tuache.
Maana ukitokea moto kutoka ni haiwezekani.
 
Tatizo zile nondo kwenye madirisha. Nadhani ni muhimu nyumba iwe na milango mitatu. Moto ukianzia sebleni mnatokea milango mingine. Milango mingine isitokee sebleni.
Pia huu mfumo wa kuweka nondo madirishani inabidi tuache.
Maana ukitokea moto kutoka ni haiwezekani.
Ukapimwe mkojo ww tusiweke nondo madirishan ili tuibiwe vzr
 
Haya mambo ni zali tu unaweza ukawa na fire extinguisher halafu ukakuta moto umeanzia huko huko mwenye ipo halafu huku ulipo kukawa kupo shwari.

Utathubutu kuifata fire extinguisher kwenye moto?
Wengi tunapata kihoro.
Hata kukumbuka huwezi labda muwe wengi.
 
Moto ukitokea ghafla kwenye harakati za kujinasua unatakiwa ujimwagie maji mwili mzima huku ukiwa umevaa nguo nzito nzito. Sasa namna hii inabidi uwe 'sharp' hata kuwavalisha wengine na kisha kuwamwagia maji walowane chapachapa halafu ndo unatafuta njia ya kutokea utapita kwenye moto bila ya madhara makubwa mwilini.

Kama nguo umechelewa unavaa hata shuka au blanketi au godoro lakini sharti liwe limelowa chapachapa ,viatu pia muhimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom