Nini kazi ya mayai viza?

Nini kazi ya mayai viza?

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,668
timu+kalu5.jpg

Habari.
Nimepigwa na butwaa sana leo hii.

Nilikua natoka katika banda langu la kuku,Mara akaja jamaa wa mtaani kwetu

,Huku akiniulizia kama nina mayai viza,Mayai ambayo yameshaatamiwa na kuku lakini hayakuanguliwa.

Nilipomuuliza anakwenda kuyafanyia nini,akaniambia ana kazi nayo,

Sasa ningependa kujua ni kazi gani mayai viza hufanya.?
Karibuni wadau mnifungue macho.
 
Inawezekana yana kazi nyingi,ila ungemuuliza huyo jirani yako vizuri ungejua kazi moja tayari.
 
kuwapelekea washirikina/ waganga ili wakimnuizia mtu wanasema nataka mwajuma mambo yake yavunde kama hili yai viza lilivovunda, pia mambo yake yasifanikiwe kama hili yai viza ambalo halikufanikiwa kuangua kifaranga.
Kazi nyingine ni kuwapiga watu ambao unaugomvi nao lakini kupigana nao huwezi hivo unamvizia anapita mahali unajibanza unampiga nayo kama matatu hivi aiseeee anachukua wiki nzima hiyo harufu ya uviza kuisha mwilini mwake.
Kazi nyingine muulize huyo aliyekuja kukuomba hayo mayai, tena usimpe bure umuuzie.
 
Inawezekana yana kazi nyingi,ila ungemuuliza huyo jirani yako vizuri ungejua kazi moja tayari.

Yeye kaniambia ana kazi nayo tu.
ndio najiuliza kazi gan na mayai viza?
 
kuwapelekea washirikina/ waganga ili wakimnuizia mtu wanasema nataka mwajuma mambo yake yavunde kama hili yai viza lilivovunda, pia mambo yake yasifanikiwe kama hili yai viza ambalo halikufanikiwa kuangua kifaranga.
Kazi nyingine ni kuwapiga watu ambao unaugomvi nao lakini kupigana nao huwezi hivo unamvizia anapita mahali unajibanza unampiga nayo kama matatu hivi aiseeee anachukua wiki nzima hiyo harufu ya uviza kuisha mwilini mwake.
Kazi nyingine muulize huyo aliyekuja kukuomba hayo mayai, tena usimpe bure umuuzie.


Dunia ina mambo.
 
mayai viza ni bidhaa adimu na muhimu sana kwa waganga wa kienyeji, na yanauzwa bei nzuri, hata wewe waweza kuyahifadhi kwa ajili ya kuyauza hapo baadae....
kazi zake ndio hizo jamaa wamekwambia!
 
Hiyo ya kutumika kwa waganga wa kienyeji ndio naipata leo, sisi tulikuwa tunayatumia kwenye ugomvi tu.
 
...atakuwa ametumwa na yule mjumbe anayewakilisha wachawi kwenye bunge la katiba dodoma...
 
Habari.
Nimepigwa na butwaa sana leo hii.


Nilikua natoka katika banda langu la kuku,Mara akaja jamaa wa mtaani kwetu

,Huku akiniulizia kama nina mayai viza,Mayai ambayo yameshaatamiwa na kuku lakini hayakuanguliwa.

Nilipomuuliza anakwenda kuyafanyia nini,akaniambia ana kazi nayo,

Sasa ningependa kujua ni kazi gani mayai viza hufanya.?
Karibuni wadau mnifungue macho.


Kwanini hukumuuliza huyo muhitaji kazi yake?
 
A Rotten Egg is produced by allowing an Egg to spoil. Unlike most foods which turn to Rot when they spoil, Eggs become Rotten Eggs. Like Rot, Rotten Eggs can be used to fertilize crops or as fuel in a Campfire or Fire Pit. Rotten Eggs can be used to craft Gunpowder, a powerful explosive which deals a lot of damage and can destroy most structures.

Source: Rotten Egg - Don't Starve game Wiki
 
Mkunde Original daaah!!:shocked:
kuwapelekea washirikina/ waganga ili wakimnuizia mtu wanasema nataka mwajuma mambo yake yavunde kama hili yai viza lilivovunda, pia mambo yake yasifanikiwe kama hili yai viza ambalo halikufanikiwa kuangua kifaranga.
Kazi nyingine ni kuwapiga watu ambao unaugomvi nao lakini kupigana nao huwezi hivo unamvizia anapita mahali unajibanza unampiga nayo kama matatu hivi aiseeee anachukua wiki nzima hiyo harufu ya uviza kuisha mwilini mwake.
Kazi nyingine muulize huyo aliyekuja kukuomba hayo mayai, tena usimpe bure umuuzie.
 
Last edited by a moderator:
Hii mpya,sisi kipindi wadogo tulikuwa tunayatumia kwa watu wenye bifu na sisi kuwapiga nayo.
 
kuwapelekea washirikina/ waganga ili wakimnuizia mtu wanasema nataka mwajuma mambo yake yavunde kama hili yai viza lilivovunda, pia mambo yake yasifanikiwe kama hili yai viza ambalo halikufanikiwa kuangua kifaranga.
Kazi nyingine ni kuwapiga watu ambao unaugomvi nao lakini kupigana nao huwezi hivo unamvizia anapita mahali unajibanza unampiga nayo kama matatu hivi aiseeee anachukua wiki nzima hiyo harufu ya uviza kuisha mwilini mwake.
Kazi nyingine muulize huyo aliyekuja kukuomba hayo mayai, tena usimpe bure umuuzie.

kumbe wataalam mmo!!!!
 
Back
Top Bottom