Mama Carol
Member
- Feb 20, 2014
- 12
- 4
kama ni kwaajili ya kurogea kama mimi nisingempa aiseee. mimi huwa nayatupa fasta.
Matambiko, na yana bei kuliko mazima.
Mkuu,
Naona haya yameandikwa kiarabu!Ina maana yakiandikwa ki-China hayawezi kuwa na nguvu ya kuroga?
Nini siri ya kutumika kwa lugha ya kiarabu kwenye ULOZI?
ni siri ile ile iliyo katika dini ambayo mungu wake haongei lugha nyingine isipokuwa kiarabu.
Acha upuuzi ww....hv hamuwezi kuongea bila kukashifu imani za watu?
A Rotten Egg is produced by allowing an Egg to spoil. Unlike most foods which turn to Rot when they spoil, Eggs become Rotten Eggs. Like Rot, Rotten Eggs can be used to fertilize crops or as fuel in a Campfire or Fire Pit. Rotten Eggs can be used to craft Gunpowder, a powerful explosive which deals a lot of damage and can destroy most structures.
Source: Rotten Egg - Don't Starve game Wiki
kashfa iko wapi? kuloga mtu unahitaji kiarabu tu sio lugha nyingine, halafu eti kuna "mungu" naye hasikii lugha nyingine yoyote isipokuwa kiarabu, we unadhani coincidence? kingine hebu angalia waganga asilimia kubwa kama sio wote, wana imani ya mungu gani?
Na wewe unayetoa sababu za ugomvi unathibitisha kuwa ni mtu usiye na BUSARA!
ulitaka umuoe wewe
kazi ya mayai viza ni kutibua kampeni za CCM... mi najua hilo tu!!
popote utakapoona CCM wanapiga kampeni, tupia yai viza kama kumi hivi ukitokea mbali...
hapo utakuwa umesaidia kuikomboa nchi yako...
![]()
Habari.
Nimepigwa na butwaa sana leo hii.
Nilikua natoka katika banda langu la kuku,Mara akaja jamaa wa mtaani kwetu
,Huku akiniulizia kama nina mayai viza,Mayai ambayo yameshaatamiwa na kuku lakini hayakuanguliwa.
Nilipomuuliza anakwenda kuyafanyia nini,akaniambia ana kazi nayo,
Sasa ningependa kujua ni kazi gani mayai viza hufanya.?
Karibuni wadau mnifungue macho.
Kuna mtu anayahitaji?!mayai viza ni bidhaa adimu na muhimu sana kwa waganga wa kienyeji, na yanauzwa bei nzuri, hata wewe waweza kuyahifadhi kwa ajili ya kuyauza hapo baadae....
kazi zake ndio hizo jamaa wamekwambia!