Nini Hatma ya Upinzani Tanzania?

Nini Hatma ya Upinzani Tanzania?

Tukiweka Ushabiki wa vyama vyetu kando. Hivi wanasiasa wanalengo kweli la kuleta ukombozi Tanzania au ni maslahi binafsi? Maana jimbo limesharudi kwa wenyewe.
 
Yeye aliachiwa yeye ameona hastahili kushindwa; kweli labda muujiza kulikomboa au la linarudi mikononi mwa mafisadi
 
Yes, jimbo litarudi CCM kwani watafaidika kutokana na Chadema na CUF kugawana kura. Hata hivyo kuna faraja kwamba hakurudi CCM!
 
Tukiweka Ushabiki wa vyama vyetu kando. Hivi wanasiasa wanalengo kweli la kuleta ukombozi Tanzania au ni maslahi binafsi? Maana jimbo limesharudi kwa wenyewe.

Oh my God! So who is who in this game!!
 
Nisaidieni wadau,hivi CHADEMA wameshateua wagombea wao tayari?
 
Nisaidieni wadau,hivi CHADEMA wameshateua wagombea wao tayari?
Yes, na ndio maana mwera moved on... its all about be in the mjengo, than taking care of wananchi... you dont need to be in the bunge to serve the needy, especially if you are pro-poor!!!
 
Nafikiri ndo mwisho wake kisiasa, ameijilostisha. Lakini inafikia wakati unajua kwamba siasa za Tanzania wachache ni wajenga nchi wengine ni mambo ya "ME AND MYSELF"
 
Nafikiri ndo mwisho wake kisiasa, ameijilostisha. lakini inafikia wakati unajua kwamba siasa za tanzania wachache ni wajenga nchi wengine ni mambo ya "ME AND MYSELF"

Tehe tehe tehe.... mambo ya 'Myself and I'
 
Yes, jimbo litarudi CCM kwani watafaidika kutokana na Chadema na CUF kugawana kura. Hata hivyo kuna faraja kwamba hakurudi CCM!

Zak, thubutu kule ni tarime na ndiyo maana Chadema wameacha wapiga kura waamue, kule sio kwa wasukuma bwana!
 
Msaada huyu Mwera C alikuwa nani?

Mbunge wa Tarime, Bunge lililopita.
Hata hivyo ni vigumu jimbo kwenda CCM kwani Kijana atakayegombea ni mzuri zaidi ya Mwera ndio maana akashinda kwenye maoni. Kijana Mwita Mwitabe Waitara ni msomi wa Chuo Kikuu na ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja. Wanaomfahamu mliosoma naye hebu mwageni comments zaidi.............hata hivyo tunashukuru Mwera hajaenda CCM, bado yupo upinzani kwa kuhamia CUF.
 
Kweli kushindwa kuchungu kama ulishaonja utamu wa mjengoni ndo mana wakina shibuda wanakufa kiofisa na kuonesha uadilifu kwenye chama chao..Huyu mwera ndo amejimaliza kabisa kisiasa..hvi cuf wakimtosa kwenye nafasi ya ubunge si atakimbilia NRA nae?!!:confused2:
 
CHADEMA si mtu, ni TAASISI, wako wapi akina Kafulila? Let him go, we now know his true colors.
 
Hivi kungekua na kugombea binafsi si ingekuwa balaa?
 
Nafikiri ndo mwisho wake kisiasa, ameijilostisha. lakini inafikia wakati unajua kwamba siasa za tanzania wachache ni wajenga nchi wengine ni mambo ya "ME AND MYSELF"
Ni wote tu, hakuna cha wajenga nchi wala nini, hao 'wajenga nchi' nchi yenyewe wanayoijenga IKO WAPI??
 
Msaliti! Yafaa jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake na atoswe baharini.
 
Back
Top Bottom