Nini hatma ya Lowassa akikosa urais 2015?

Nini hatma ya Lowassa akikosa urais 2015?

Lowassa hata awe na nia nzuri vipi CCM imeshachokwa, akishinda urais labda akagombee chama kingine cha siasa, sasa hivi wananchi wameshajua kuwa tatizo ni CCM wala sio rais. CCM ina wenyewe si unaona kikwete alibadili kauli yake ya serikali tatu hadi mbili kama ccm inavyotaka, nani alimshinikiza kama sio wenye chama? CCM ni janga la kitaifa na kimataifa.
 
Edward Ngoyai Lowasa aka laighwanan, kama watanzania wote tujuavyo, ameonyesha uchu mkubwa wa madaraka wa kuutaka urais ambao haujawahi kuonekana toka nchi ipate uhuru. lo-rushwa ametumia kila mbinu iwe safi au chafu kuhakikisha kwamba lazma 2015 ccm ndio inamteua kubeba bendera ya ccm.

Nionavyo mimi mambo ambayo yatatokea lo-rushwa "akila za uso" kama malecela, na kutemwa na ccm ni haya

1. lo-rushwa ataacha kugawa hela zake chafu misikitini, makanisani. nawashauri mapadri na mashehe watafute vyanzo vingine vya mapato
2. lo-rushwa ataacha kuvilipa vikaragosi vyake mitandaoni. navishauri vitafute kazi ingine.
3. lo-rushwa hatawaalika tena wenyeviti wa ccm wa mikoa mwisho wa mwaka mondul na kuwapa kila mmoja bahasha ya ts 500 000/=
4.lo-rushwa ataacha kuwaganjia wajumbe wa vikao vya maamuzi rushwa
5. lo-rushwa atacha kuvihonga baadhi ya vyombo vya habari
6. l-rushwa ataacha kuwachafua wenzake

wa-tz wenzangu mnaona nini kingine kitatokea?

 
Atakuwa mgombea binafsi uamuzi ambao ndo utakuwa mwisho wa enzi zake.
 
BW. KALIKENYE

LO-RUSHWA akiwa MOMBEA BINAFSI ataweza kuhonga waTZ WOTE? MAANA HUYU JAMA HANA SERA ZAIDI YA RUSHWA
 
JE NI KWELI LO-RUSHWA hawezi kubeba kikombe cha chai kwa DK 3 ???
 
Ataanzisha hospitali yenye hadhi kama ile ya ujerumani ili kupunguza gharama za kwenda huko kila baada ya wiki 2
 
Rais lazima atoke kaskazini slaa,lowassa au sumaye.na huo ndiyo utakuwa mwisho wa maccm kuwanyanyapaa watu wa kaskazini.
 
BW. DESHMO

unasema atakua RAIS WA WAFUGAJI. Kwani wafugaji nao watatafua RAIS WAO 2015???
 
Lo- RUSHWA kama ulivyomuita Afya yake itaendelea kutetereka hasa ukiongeza na stress za kuukosa urais. Ataandamwa na Pressure na probably kisikari cha kiwango cha hali ya juu
 
Rais lazima atoke kaskazini slaa,lowassa au sumaye.na huo ndiyo utakuwa mwisho wa maccm kuwanyanyapaa watu wa kaskazini.
Kwa nini lazima atoke kaskazini? Vipi kanda ya ziwa, nyanda za juu kusini au magharibi?
 
MKISEMA RAIS this time LAZMA ATOKE KASKAZIN inamaana hata MCHOVU WASIRA ATAWEZAKUWA RAIS HA HA HA
 
kwani alipomtembela Tb Joshua alipewa ujumbe gani kuhusu yeye kutaka kuwa Rais?mkilijua hilo mtaacha kumwandama huyu mtanzania
 
Kaskazini inayonyanyapaliwa na maccm ni kilimanjaro,arusha na manyara.hata JK amewaondoa mawaziri wote kutoka kaskazini.
 
Back
Top Bottom