Nini hatma ya Lowassa akikosa urais 2015?

Nini hatma ya Lowassa akikosa urais 2015?

WaTz tuombe Mungu sn tu tupate kiongozi ambae atatuvusha

Na kuhimiza wananchi kupiga kura
 
akiukosa uraisi natabiri hataishi zaidi ya mwaka mmoja Tanzania, either atahama nchi akaishi kule ulaya aliko nunua nyuma au (samahani) anaweza kuzidiwa na maradhi akafariki (too bad)
 
Kwani saiv mbona sio rais maisha yanasonga tu,kwanza me nadhani nchi inaweza kwenda tu bila hata kuwa na rais,urais kwa nchi za africa ni kula hela tu.
 
Mkuu hata mimi naamini hapo tu. Ni mtu mjinga pekee mwenye akili za kuambiwa anaweza kukataa uchapa kazi wa bwana lowassa. Bwana lowassa anajulikana na anavuma sana kwa utendaji wake mzuri, lakini hapo kwenye kashfa zake za kutuhumiwa kwa ufisadi, iwe kweli au uongo ndio imeathiri na ndio itakayoathiri kwa kiasi safari yake ya urais.

Hapa hatuongelei uchapaji kazi mkuu...kumbuka kama mtu usipokuwa na nidhamu katika chochote iwe kazini shuleni bado hata kama ukiwa mfanya kazi bora vipi utakuwa hauna maana!!! ni sawa na bank iseme tuna accountant mchapa kazi alafu ni mwizi wa pesa za wateja, ni bure!! sijui kama umeelewa point yangu mkuu!! kuwa rais hata wewe unaweza, lakini kama UNATAKA KUWA RAIS NA UMESHAWAIBIA AU UNA KASHFA YA KUWAIBIA WATU UNAOTAKA KUWAONGOZA still hautakuwa kiongozi bora!!
 
Mimi naamini kwa jinsi huyu mtu alivyokuwa na ushawishi ndani ya chama cha Magamba akikosa kusimamishwa na ccm ujue huo ndio mwisho wa maisha ya ccm. Yaani inaitwa kwaheri Ccm.
 
Mimi naamini kwa jinsi huyu mtu alivyokuwa na ushawishi ndani ya chama cha Magamba akikosa kusimamishwa na ccm ujue huo ndio mwisho wa maisha ya ccm. Yaani inaitwa kwaheri Ccm.

naamini wakimbania chadema nchi tunachukua wakimpa kura zote chadema ,akikaa vibaya tunamfunga yeye na magamba wenzie,akizingua nchi haitawaliki.
 
Mnaodai lowassa mgonjwa.1.alishawahi kuanguka jukwaani?2.alishawah kulazwa india mwaka mzima ka mwakyembe na mwandosya?
 
kwani alipomtembela Tb Joshua alipewa ujumbe gani kuhusu yeye kutaka kuwa Rais?mkilijua hilo mtaacha kumwandama huyu mtanzania

alimwambia atubu ufisadi aliofanya na agawe mali zake kwa maskini.
 
Back
Top Bottom